Tujisahihishe Tz
Platinum Member
- Nov 17, 2011
- 3,061
- 1,367
Wanafunzi wa
Chuo cha Mkwawa wafunga njia
maeneo hayo wakidai pesa zao
(Boom) vurugu zinaendelea na
wamempiga FFU mmoja mpaka
muda
huu taarifa inakuja hapa studio
za radio free afrika hali ilikuwa si
nzuri.
Chuo cha Mkwawa wafunga njia
maeneo hayo wakidai pesa zao
(Boom) vurugu zinaendelea na
wamempiga FFU mmoja mpaka
muda
huu taarifa inakuja hapa studio
za radio free afrika hali ilikuwa si
nzuri.