wafiembali wakina Majura kwni wamekuwa wanazi wa ccm.....nakumbuka wakati wa kampeni walimuhoji bwana mmoja kuhusiana na bajeti ya tz, walipoona mwelekeo ni kuiponda ccm wakakata matangazo waliporudi ile habari haikurudiwa tena. jioni yake jeykey alikuwa na maigizo ya kuhojiana na wahariri akalizungumzia hilo suala la bajeti...