Jamani kwa wale walioomba nafasi za Audit pale TPA,tafadhali futa katika list ya matumaini kwani tayari wameshaita na wamefanya interview alhamisi iliyopita,poleni kwa waliokosa na hongereni kwa mliopata ikiwa mumepata kwa ushindani halali na si kwa KAMLETE.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us