Breaking buta bit late - TPA JOBS washaita!

mswazi

Member
Nov 18, 2007
25
2
Jamani kwa wale walioomba nafasi za Audit pale TPA,tafadhali futa katika list ya matumaini kwani tayari wameshaita na wamefanya interview alhamisi iliyopita,poleni kwa waliokosa na hongereni kwa mliopata ikiwa mumepata kwa ushindani halali na si kwa KAMLETE.
 
Jamani kwa wale walioomba nafasi za Audit pale TPA,tafadhali futa katika list ya matumaini kwani tayari wameshaita na wamefanya interview alhamisi iliyopita,poleni kwa waliokosa na hongereni kwa mliopata ikiwa mumepata kwa ushindani halali na si kwa KAMLETE.

Mwenyezi Mungu atawapa mkate wao wa kila siku kupitia juhudi binafsi kwenye makampuni mengine, si lazima TPA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom