Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,296
- 51,921
Hiyo mechi ya leo itakuwa ni ya kukata na shoka 😀😀True. Sahiv tunpiga laini laini tukalaleView attachment 1535216
Hiyo mechi ya leo itakuwa ni ya kukata na shoka 😀😀True. Sahiv tunpiga laini laini tukalaleView attachment 1535216
HahahahChezea watu pori wewe. 😜😜
Safari ngumu bwana....True. Sahiv tunpiga laini laini tukalaleView attachment 1535216
Agiza nyama....! Tupia namba kwa majaliwaOlasiti mbali sana na nilipo wangu hadi nifike huko pombe zishaisha kichwani
Acha woga...life is too short to complicate🤸Tuendako center za dialysis zitakuwa dili sana, fursa mpya hiyo eneo la uwekezaji.
Acha woga...life is too short to complicate🤸
.....hahhaaa...Basi changamkia fursa...unaweza kunywa wewe mwaka tu ukawa hoi..akanywa mwingine akadunda tuHahaha siogopi mkuu, ila mimi naiona fursa tu katika upande huo. Hizo sumu watu wanabugia sana. Pombe ngumu tena za rangi mixer energy jamani ni kuua figo tu huko.
.....hahhaaa...Basi changamkia fursa...unaweza kunywa wewe mwaka tu ukawa hoi..akanywa mwingine akadunda tu
Don worry mzee Baba mwisho wa siku, anaekunywa na asiekunywa wote kaburi linatungojaYeah, ni kweli. Mambo ya genetics pia yanachangia. But ki ukweli ki afya pombe kali za rangi na kuchanganya na hivyo vinywaji nishati sio vizuri kabisa. Sijawahi kunywa pombe, ila siwezi kumnyima mtu kunywa pombe au kumkataza. Japo naweza kudiscuss nae mambo kadhaa kuhusu faida, hasara na madhara kiujumla ya utumiaji wa pombe.
Nyie mnaosema ni fursa mnaweza mkatangulia na sisi ambao ni fursa tukabaki tunapeta tu duniani huku😜😜Hahaha siogopi mkuu, ila mimi naiona fursa tu katika upande huo. Hizo sumu watu wanabugia sana. Pombe ngumu tena za rangi mixer energy jamani ni kuua figo tu huko.
Don worry mzee Baba mwisho wa siku, anaekunywa na asiekunywa wote kaburi linatungoja
Fanya uchukue ushauri wa mzee wa connection, binafsi nauamini sanaaaa😂😂😂😂Wewe ndio mtaalamu, Aka doktari
Wa kuongeza njugu mamy.....Ushauri upi huo?