donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Picha linaanza hamna meza mwendo wa ndoo 


Hujawahi kuniangusha mh mjumbe.Wahenga tunasemaga.... Ikiwaka mulika na ikizima papasa
Sasa mimi nitakosaje chura?Chura ipo lakini??
Ova
Mmmh itabidi nikuajiriSasa mimi nitakosaje chura?
Mleta mada hajaiona hii comment...😋Ukihitaji housigelo nishtue mkuu.
Kweli nahitaji kazi mkuu niajiri.Mmmh itabidi nikuajiri
Fursa hii 😂Mleta mada hajaiona hii comment...😋
Nimeshaku PM mkuu..😊
Tatizo vijana wengi ni waharibifu wa fursa chache zinazo zitokeza kama hizi...😂..Fursa hii 😂
Kila la heri na hg mpyaTatizo vijana wengi ni waharibifu wa fursa chache zinazo zitokeza kama hizi...😂..