Breakfast kigetogeto....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,138
Wakuu leo nimekomaa mwenyewe kibishi kutoa breakfaa magetoni baada ya shemeji yenu kukimbia kisa hawezi maisha ya sukari guru, nikaona sio kesi mi mwenyewe shefa matata my mama taught me a lot of things including cooking while I was still young.
 
Umeniongezea njaa.....nimetoka usingizini
 
Safiiìiiiii....mkeo atapata raha
 
Na hizo chapati umepika wewe ama za kununua?
 

Kama ni ww ndo umepika...hongera sana
 
Ndio.

Naona chapati zimepoteza kabisa mduara wake wa asili.
 
naona kuna kikombe cha uji wa ulezi. ukishushia na uji utakuwa umetengeneza sabuni tumboni
 
Naona chai imekolea sukari gulu mpaka imefanana rangi.
 
Ebwana nimeitamani kinoma,uko vizuri mkuu.
 
chapati zinacheza kuku kapanda basikeli,safiiii
 
Mkuu umetisha, ila chapati zina pembe kama mstatili [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…