Ukiachwa you have to get over it.....maana ukiona mlango unafungwa basi jua kuna mwingine utafunguliwa pengine bora hata kule ulikotoka, na ukalaumu lol hv huyu jamaa kwanini hakuniacha zamani. Mapenzi ni ajabu sana, unampenda m2 unaona huyu ndiyo mambo yote, ukiachwa unachanganyikiwa lakini unakutana na mwingine bora kuliko wa mwanzo. UKIACHWA TAKE VACATION SOMEWHERE NICE, OR HAVE PARTY (UENDA KUACHWA KUMEKUEPUSHIA BALAA FULANI)