min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,566
Nyie kama mnatafuta tafuteni tu, ila hata kwenye maisha kibongo bongo ili kufanikiwa lazima ,utumie kanuni ya break pumbu🤔 yaani fosi mpaka mwisho, kwenye upambanaji , hakuna kinachoshindikana.
Fanya fanya uwezavyo ,ila fanya ulazimishe ipite na break ziwe pumbu bwashee🤗
Usipofanikiwa maishaini ni upumbavu wako tu.
Note: mashoga watajitokeza wakijua ni uzi wao , na utawaona comment zao hapo chini 😅
Ila hapa naonyesha namna ya kulazimisha kufanikiwa kimaisha kibongo bongo tu
Fanya fanya uwezavyo ,ila fanya ulazimishe ipite na break ziwe pumbu bwashee🤗
Usipofanikiwa maishaini ni upumbavu wako tu.
Note: mashoga watajitokeza wakijua ni uzi wao , na utawaona comment zao hapo chini 😅
Ila hapa naonyesha namna ya kulazimisha kufanikiwa kimaisha kibongo bongo tu