Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

Inategemea na price unayoamua kuuza c unajua biashara huria siku hizi....ila kwa kukuelimisha tu ufahamu hakuna samsung ya ulaya...Samsung zote OG zinatengenezwa Korea au Vietnam.

Ni kweli naelewa nilimaanisha zinazopelekwa kwenye hiyo nchi zinapimwa viwango
 
Ni kweli naelewa nilimaanisha zinazopelekwa kwenye hiyo nchi zinapimwa viwango
Sure!! Ni kweli kabsa...same na zinazoenda south Africa....hizo huwa best zaid. Nichek whatsapp uniambie unauza ngap..0654776976
 
Hizo simu ulizoweka hapo ni nyingi ni zile za bei juu sana, nakushauri ungeweka hizi za bei ya kati na chini ungeweza ku-attract watu wengi sana, mfano kama hizi za kuanzia 200,000 mpaka 600,000/-.

Naomba kujua kwenye hizi kama unazo na bei zikoje, Samsung A5, A7; LG G2, G3; Sony Xperia Z3, HTC M8 na zingine za bei zinazokaribiana.
 
Lte au LTE ni aina ya Forth Generation(4G) mobile communications standard. (yenye internet speed ya kasi )

"Watumiaji wa simu zenye LTE 4G network wanafaidika na data speeds ambayo ni up to 10 times faster zaidi 3G network ya sasa "

Simu nyingi za kisasa hasa zinazopatikana kupitia South Afrika ni LTE. na ndio best smartphones.

# SASA unachotakiwa kufanya ni kujipatia smartphone ya ukweli ya Lte kutoka kwangu kwa bei pouwa kabsa(me ni vunja bei). then unaenda kubadili line yako upewe inayosapoti 4G network araf unaanza kufaidi internet speed ya ukweli mwanzo mwisho#

Mimi napatikana Kkoo, ukifika kariakoo sehemu yoyote piga simu #0654776976.utaelekezwa na utafika kwa urahis Ofisini kwetu au utafuatwa ulipo na kuletwa dukani...pia kwa asiyeweza kufika anaweza kuletewa mzigo popote alipo kwa kuchangia gharama kidogo tu ya usafiri( boda boda).

Ninazo Simu mbali mbali za kisasa na zote ni Lte nauza kwa bei chee tu kila mtu afaidi, kwa mfano:
1.Galaxy s7 edge 64GB ambayo inauzwa zaidi ya 1.7mil, mimi nauza 1.4mil
2. Galaxy Note 5 ya 32GB ambayo inauzwa 1.6mil, mimi nauza 1.2mil.
3. Sony Xperia z5 ya 32GB ambayo inauzwa 1.1mil, mimi nauza 800k
4.Iphone 6s ya 64GB ambayo inauzwa 1.8mil, mimi nauza 1.4mil
5. Lg G4 ya 32GB ambayo inauzwa 900k mie nauza 650k
Hiyo ni mifano tu Simu zipo nyingi.

Karibuni saana.

vunja BEI. 0654776976.
vieloon@gmail.com
a221e350465c5c011c8603151c8907f9.jpg
a21523c0d98eba713e439a8512c7f231.jpg
2d93ec44572a352b2fbfd6a5baed2d11.jpg
mobile-gallery
Sawa nafkir pia kama una price list utupie ila sijui kama kuna simu imeuza mil8 au mil6 bongo
 
Brandnew Huawei Mate S Gold color with internal storage of 64GB, Ram 3GB, Camera 16M with led Flash, Front Camera 8MP WITH Flash, Lte 4G network and Working Fingerprint security. (unapata kwa "Vunja Bei" bei pouwa)
Price: 850k
Contact: 0654776976

# kumbuka simu nyingne za ukweli zipooo
33f03b7948bb4875bcfba3e0ab839389.jpg
7c43c0f09f1b7fa7480ababee588addf.jpg
6034950d6c0bc54c66a16604d46ecced.jpg
 
Nauza Samsung galaxy A5 duos, Gold Color na white color kwa bei pouwa tu (vunja bei), zote zipo na vifaa vyake

Price 4500k @each
# 0654776976
53590c26ad773b540685fa700d094c74.jpg
0efa0440e0d319587952acb69bc74c5f.jpg
a3e71ea0581768f23188c9cf234eb0d4.jpg
df818a702ec0030912e24c17f1ffee60.jpg
 
Simu ni nzuri sana but tafadhali vumilia kwanza mpaka saa 6.00 usiku alafu ulete updates kama si za mwezi wa sita kisha tukatafute.
Hah hah hah cm zangu hata aje Magu aunganike na TCRA na PCCB na nini sijui af watangaze zifungwe hazifungiki ayseee...hii kampuni nyingne bob
 
Hah hah hah cm zangu hata aje Magu aunganike na TCRA na PCCB na nini sijui af watangaze zifungwe hazifungiki ayseee...hii kampuni nyingne bob
Mh, ila moyo wangu mzitooooo..! Ebu vumilia tu mkuu mpaka saa 6.00 usiku leo maana hakuna namna sasa....🙂🙂🙂
 
Vunja bei tena Nauza Samsung Galaxy S5..4G Lte mpyaaa bei pouwa ya "kuvunja bei" yaani 450k badala ya 650k bei ya wahidi dukani.

Pia kuna smartphones nyingne tofauti tofaut na za kisasa km samsung galaxy A series, J series na S series pamoja na Note series, pia kuna Simu kali za Brand nyingne km huawei, Sony xperia, HTC, LG na Iphones...

Simu zang zote ni mpyaa, Original na ni 4G za Lte na zinauzwa kwa bei pouwa tu.

Njoo dukani kariakoo au piga 0654776976 kwa maelezo zaid..ukihitaji unaweza letewa popote ulipo.
Karibu sana.
d3d617c1c6d81d937388487d91974f57.jpg
5e3703948c32a9415ed030bca667652f.jpg
c3d2d603e64d1e2ebca14e95df793b00.jpg
9b7b13e93d6c149381c7d2e67dff8917.jpg
5c6538ddb286f7ef93b3de5c26e731d6.jpg
734755c268be14e62506f6baf9d1e18b.jpg
 
af20f3fdf533a712f921ad254ebddd60.jpg
8e7beeb432b1c670f2ad4ea94e0f53ad.jpg
Nauza Best smartphones za kisasa ambazo ni brandnew na 4G Lte kwa bei pouwa.
(Mfn: S7edge, iphone 6s, Xperia z5, LG G4, Moto X, Note 5, Huawei Mate S, P8, HTC M9+ etc)
Pia simu ndogo za kawaida km Note3, huawei p8 lite, samsung S5 pamoja na Ipads na samsung tablets zipo.

simu zote ni original na mpyaa, mzigo unaingia kila baada ya 2 weeks kupitia South Africa.

Kuna simu kali tofauti tofauti.
Kama unahitaji smartphone ya kisasa, mpyaa na Original kwa bei pouwa kuliko popote pale Dar es Salaam nichek mzee wa kuvunja bei: #0654776976
#vieloon@gmail.com
Au fika dukani kwangu Kkoo Aggrey.
c833904d64354977ebd0c2bc89be6f27.jpg
a291f68ab85426e07354e74d77d9c7e5.jpg
e4f21dde7d16675e2b9c0726b46ac41f.jpg
98dfe2ae23d80b7b4cfde1bea31d217c.jpg
c691319888d3819c1ec0462632378d02.jpg
bda4dc694ad8ada8a5980ba401993b9a.jpg
 
UMESEMA MZIGO TOKA SOUTH?....AMERICA AU AFRICA?

KAMA AMERICA SINA SHAKA...ILA KAMA AFRICA..MNHHHHH MIE NAOMBA NISIWE MTEJA WAKO...WAUZIE WASIOYAJUA YANAYOTOKEA SOUTH AFRICA NA HASA KWENYE HIZO SIMU NA LAPTOPS NA IPADS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom