Mkuu nina tecno phatom 6 mpya naomba nikupe nikuongezee na kiasi Fulani cha pesa unipe mzigo..haya sasa bwaaago!!!
used samsung galaxy note 5 gold color, 32GB, 4G network..ina crak kidogo kwenye glass ya juu (touch)...ila inapiga kazi safi sana. sio ya mbio, haijabadilishwa imei # na wala haijawahi kufunguliwa.
nabwaga 520k
kwa maelezo zaid nichek 0654776976
View attachment 473654View attachment 473655View attachment 473656View attachment 473657
note 5 bei cheeeehaya sasa bwaaago!!!
used samsung galaxy note 5 gold color, 32GB, 4G network..ina crak kidogo kwenye glass ya juu (touch)...ila inapiga kazi safi sana. sio ya mbio, haijabadilishwa imei # na wala haijawahi kufunguliwa.
nabwaga 520k
kwa maelezo zaid nichek 0654776976
View attachment 473654View attachment 473655View attachment 473656View attachment 473657
je ni kioo cha juu ( touch) au kile cha ndani (LCD) au vyote kwa pamoja? au je hiyo simu yako inawaka nakuonyesha kila kitu??Mkuu, kioo changu cha S5 kimepata mpasuko kutoka angle ya juu kushoto mpaka angle ya chini kulia.
Kioo ni sh.ngapi au nifanyeje ili huu mpasuko usionekane?
Mkuu wangu mimi sio mtaalamu saana wa haya mambo ila inaonesha ni kioo cha juu. Simu inaonesha vyema tu na natouch vizuri tu.je ni kioo cha juu ( touch) au kile cha ndani (LCD) au vyote kwa pamoja? au je hiyo simu yako inawaka nakuonyesha kila kitu??
nijibu hayo kiongozi then nitajua cha kukushauri na kukusaidia
hivyo vyote bei ni chee tu...nadhan tuliwasiliana kwa simu mkuu...na nikakupa mwongozo si ndio?Mkuu wangu mimi sio mtaalamu saana wa haya mambo ila inaonesha ni kioo cha juu. Simu inaonesha vyema tu na natouch vizuri tu.
Halafu Mkuu, na hii housing unauzaje? Hii ina rangi ya Silver sema imechakaa, nataka kubadili na kuweka mpya.
nipo kariakoo aggrey mitaa ya kina big, ila pia nataka kuhamia China Plaza...hata hivyo biashara zangu saana ni online..unaletewa mzigo popote ulipo kwa dara free of charge, ila wa mikoani na nje ya nchi ndio huchangia gharama za usafirishajiMkuu tangazo lako linavutia sana na bei zako tamu kushinda asali je kariakoo ni pale pale agrey mitaa ya kina chief au kule mobile plaza karibu na duka la mirado
unbelievable nitakucheck450k