Vieloon
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,520
- 695
- Thread starter
- #621
Hapana Mkuu, na ndio maana Bei zangu nimeshusha kabsaa mpaka zaid ya Bei chee..hiyo yote ni kutaka biashara iwe chap chap, si unajua cc wenye mitaji midogo biashara inabid izunguke chap.Hakuna utaratibu wa kulipa kwa Instalments?! Yani nachukua mzigo then nakulipa taratibu kwa mujibu wa makubaliano! Nipo serious.
Jipange tu Mkuu nikuuzia kwa bei pouwa kabsa mwenyewe utafurahi.