brand new samsung electronics kwa bei nzuri

brand new samsung electronics kwa bei nzuri

Led series4 32inch nauza 750,000 na lcd 32inch nauza 650,000 zote ni brand new kwenye box na warranty ya miaka miwili
 
Mkuu una samsung camera yenye wifi. Kama unayo ni kiasi gani?
 
King'amuzi kipo ndani ya tv kina kinakamata channel zote ambazo ni free kwenye satellite kwa hiyo..ukiwa na hii tv hauitaji startimes, zuku, continental wala easy tv.
 
Brand ninazouza mimi za kuanzia 2012 mpaka mwaka huu kwa hiyo sina 42 inch ila unaweza kupata kuanzia inch 19,22,23,26,28,32,40,46,55,60,65,75 na 85..Hizi zote ni LED. Kwa upande wa LCD kuna inch 32,46 na 50...chagua unayoona inakufaa nikupe bei mkuu

40 na 46 (LED) ni shilingi ngapi?
 
Brand ninazouza mimi za kuanzia 2012 mpaka mwaka huu kwa hiyo sina 42 inch ila unaweza kupata kuanzia inch 19,22,23,26,28,32,40,46,55,60,65,75 na 85..Hizi zote ni LED. Kwa upande wa LCD kuna inch 32,46 na 50...chagua unayoona inakufaa nikupe bei mkuu

Series 6 (au zaidi), 32inch, LED smart tv, unauzaje?
 
Back
Top Bottom