brand new samsung electronics kwa bei nzuri

brand new samsung electronics kwa bei nzuri

Samsung LED, HD 32in au 37 au 40/42 unauza kiasi gani? Na kwa LCD zake pia kiasi gani.Plz!

Kwa nyongeza ungeweka kama yule mwenzio wa mobile phones godfrey electronics product specifications na bei yake, ingekuwa vema. Ushauri tu mkuu!
 
Brand ninazouza mimi za kuanzia 2012 mpaka mwaka huu kwa hiyo sina 42 inch ila unaweza kupata kuanzia inch 19,22,23,26,28,32,40,46,55,60,65,75 na 85..Hizi zote ni LED. Kwa upande wa LCD kuna inch 32,46 na 50...chagua unayoona inakufaa nikupe bei mkuu

mkuu hyo ya LED 85 ni bei gani nina mpango wa kuinvest ktk movie theatre
 
Mkuu nipe bei ya 50inch plasma ilw nyembamba wanaita razor sharp
 
Back
Top Bottom