Brain programming

Tanzanite klm

JF-Expert Member
May 7, 2013
453
376
Akili ya binadamu ndiyo computer kubwa na imara kuliko computer yeyote unayoijua; wanadamu sasa tunatengeteza roborts kwa technologia ya Artificial Intelligence

- Akili ya binadamu kama computer inaweza fanyiwa programming; na wanaojua siri hii ni wachache sana, ndio maana Holly wood kila movie wanayo toa huwa na lengo flani kubadilisha fikra za watu hata media pia ndio maana leo hii ukisikia kuwa Kuna ugunduzi wa kisayansi mkubwa umefanywa haraka haraka unajua ni caucasion kagundua au myahudi; ukisikia drug dealers unahisi ni wa mexico, gaidi ni watu kutoka middle east:

Hizo ni programming na brain washing.
Milango inayofanya akili yako ibadilike positive au negative ni hii
1.Macho yanachoona hupeleka akilini

2.Unachosikia pia kina program akili yako

3.Unachoongea pia kinaeza kuku program pia.

Mfano kuna aina ya vitabu ukisoma au movie ukicheki unakua muoga sana au unakua na tabia flani flani.

Taarifa nyingi tunazopata huingia kwenye sub conscious mind yetu na baadae kutubadili bila yetu sie wenyewe kujijua.

Tuwe makini na vitu tunavyo tazama,sikia na kuongea.
Unaeza jifanyia programming mwenyewe na ukawa the best person ever.
 
Ukifanikiwa kufanya kitu consistently kwa nguvu ileile kwa siku zaidi ya 25 kinakuwa tabia yako. Tafsiri ya Genius kisaikolojia ni mtu ambaye ako afanya kitu anachopenda sana to the level of obsession. Newton, Pythagoras, Tesla and Da Vinci walikuwa obsessed na talents zao wakafanya mambo great duniani.
 
Ukisoma kidgo. Kuhusu subconscious mind, utatoka na mengi ya kujifunza.... You can program akili yako kwa matokeo utakayo.
 
Akili ya binadamu ndiyo computer kubwa na imara kuliko computer yeyote unayoijua; wanadamu sasa tunatengeteza roborts kwa technologia ya Artificial Intelligence
- Akili ya binadamu kama computer inaweza fanyiwa programming; na wanaojua siri hii ni wachache sana, ndio maana Holly wood kila movie wanayo toa huwa na lengo flani kubadilisha fikra za watu hata media pia ndio maana leo hii ukisikia kuwa Kuna ugunduzi wa kisayansi mkubwa umefanywa haraka haraka unajua ni caucasion kagundua au myahudi; ukisikia drug dealers unahisi ni wa mexico, gaidi ni watu kutoka middle east:
Hizo ni programming na brain washing.
Milango inayofanya akili yako ibadilike positive au negative ni hii
1.Macho yanachoona hupeleka akilini
2.Unachosikia pia kina program akili yako
3.Unachoongea pia kinaeza kuku program pia.
Mfano kuna aina ya vitabu ukisoma au movie ukicheki unakua muoga sana au unakua na tabia flani flani.
Taarifa nyingi tunazopata huingia kwenye sub conscious mind yetu na baadae kutubadili bila yetu sie wenyewe kujijua.
Tuwe makini na vitu tunavyo tazama,sikia na kuongea.
Unaeza jifanyia programming mwenyewe na ukawa the best person ever.
I did this before. Baada ya tukio baya sana kutokea kwenye maisha yangu, kuna baadhi ya tabia niameacha kabisa..
Even the way nina think ni tofauti kabisa
 
I did this before. Baada ya tukio baya sana kutokea kwenye maisha yangu, kuna baadhi ya tabia niameacha kabisa..
Even the way nina think ni tofauti kabisa
Kweli hata mimi kulikuwa na mambo nilikuwa nayafanya ila baada ya masuala fulani kutokea yamenifanya nibadilike sana kitabia
 
The worse brain washing, brain programming and stereotype and propoganda ni media...

Drag loads- Colombia
Fake products- China
Weed- Jamaica
Terrorist- Middle East and Arab related nations
Pirates- Somalia
Smart- Jewish
Scams or Fraud- Nigeria
Best Medical experts- Cuba
Lazy, uncivilised, dark continent, poverty - Africa

We are programmed to believe what they want us to believe...

Cc: mahondaw
 
dah nimekuja mbio nikajua ni m'badala wa Java
Ha ha ha ha ha ha ha haaaaah! Nimecheka sana mkuu, anyway, kama umesoma Java au una basics za Java na unataka mbadala wake ijaribu Kotlin utaipenda sana, utakapomaliza kusoma High Level Functions na Lambdas expressions kwenye Kotlin na ukaelewa vyema utakuwa una uhakika wa kudevelop Android Apps pasipo na wasiwasi wowote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom