Amon Mahamba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 399
- 64
Mimi nawaomba tusaidiane kuishauri serikali kutafuta ufumbuzi wa Ugonjwa wa presha zaidi kwani unaua wengi, huu ni sawa na UKIMWI hebu wataalamu kuna dawa ya shinikizo la damu?
Je, mtu akishapata atasubiri kufa tu?
Kama kuna dawa tushauri kama kuna njia ya kuukwepa tushauri.
Asante
Je, mtu akishapata atasubiri kufa tu?
Kama kuna dawa tushauri kama kuna njia ya kuukwepa tushauri.
Asante