angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,445
Habari wapendwa....!
Nina rafiki yangu wa kike, ana boyfriend wake anampenda sana na kaahidiwa ndoa, wiki mbili zilizopita bwana akamwambia bidada, wanunue kiwanja kila mmoja atoe hela nusu ya inayotakiwa, bidada akakubali.
Jana ndo ilikuwa siku waliyokubaliana kwenda kununua hicho kiwanja, akaja kuniomba ushauri, nikamuuliza hiko kiwanja kinaandikaa jina la nani, akajibu la mwanaume, nikamwambia usithubutu mngekuwa wanandoa sawa, lakini wapenzi hapana, Je, mkiachana itakuwaje? Bidada anahaha bwana anampenda hataki kumuuzi wala kumpoteza, anawaza atamfikishiaje bwana habari kwamba hayuko tayari akamwelewa?
Nina rafiki yangu wa kike, ana boyfriend wake anampenda sana na kaahidiwa ndoa, wiki mbili zilizopita bwana akamwambia bidada, wanunue kiwanja kila mmoja atoe hela nusu ya inayotakiwa, bidada akakubali.
Jana ndo ilikuwa siku waliyokubaliana kwenda kununua hicho kiwanja, akaja kuniomba ushauri, nikamuuliza hiko kiwanja kinaandikaa jina la nani, akajibu la mwanaume, nikamwambia usithubutu mngekuwa wanandoa sawa, lakini wapenzi hapana, Je, mkiachana itakuwaje? Bidada anahaha bwana anampenda hataki kumuuzi wala kumpoteza, anawaza atamfikishiaje bwana habari kwamba hayuko tayari akamwelewa?