Botswana waichana live USA

Naomba majibu. Hivi africans tuna jambo lipi ambalo tumeligundua na tunaweza tukatunisha kifua mbele ya jamii za kimataifa kwamba sisi waafrika ni wanzilishi wa jambo hili
 
Trump siyo mstaarabu hata kidogo Huwezi kuita nchi za wenzako shithole ni ubaguzi wa hali ya juu shenz type
 
Ndo shida ya kutawaliwa na mcheza mieleka. Hana usitaarabu hata kidogo
 


Hao takataka mashithole wa Botswana, Waafrika wanauzwa Utumwani Libya leo hii walifanya nini?
Hivi tunavyoandika Waafrika wanauzwa kama bidhaa huko Maurtania, Botswana wamefanya nini au wamesema nini?

Haya ndo mambo yanayopelekea sisi kudharaulika, fvck Botswana!
 
Mzee mimi ni Mwafrika na sio mchafu naomba unitoe ktk hiyo kauli yako,na uchafu anaouzungumzia Trampo hapo sio wa kuoga ni hiyo rangi yako ndo anayoizungumzia.huyu mzee ni wa kupigwa risasi ya kichwa apotee duniani.
Trampo [emoji117] Trump

Kwani ni nani aliyesema ni uchafu wa kuoga?
 
Ukitaka kujua waafrika ni wachafu, nenda dsm utaona inavyonuka very true Trump Ila ukweli unauma Sana , Kigali pekee ndio nàona angalau kidogo
 
Naona sijui umetafsiri vibaya au umefanya makusudi ili kupunguza ukali wa maneno,but maana ya "shit hole" sio makalio ni tundu la m*v*
 
To be honest Africa si maziro tukubari tukatae wacha tutukanwe ubongo wa kuzira misaada haupo we are omba omba in nature
 
Naomba majibu. Hivi africans tuna jambo lipi ambalo tumeligundua na tunaweza tukatunisha kifua mbele ya jamii za kimataifa kwamba sisi waafrika ni wanzilishi wa jambo hili
Tumegundua Vigodoro na Kitchen party.
 
Niliwahi kuandika juu ya uhayawani wa Donald Trump siku za nyuma, kaka mkubwa Nyani Ngabu akanijibu kifedhuli sana.

Leo mwendawazimu huyu karudia maneno yale yale ya dharau kwa watu masikini. Wale watanzania wenzetu wenye mbwembwe za USA baby sijui wanatafakari kwa kina maana ya maneno ya Trump au wao mambo ni poa tu!.
 
Hivi sie tuko bara gani vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…