Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Maana alishajidai anajua kila kitu na kunikosoa mimi muulizaji
Baada ya kuona majibu ya wadau humu hakurudi tena!
Maana alishajidai anajua kila kitu na kunikosoa mimi muulizaji
Mchumi MkuuMkuu naona ulimquote mchumi mkuu wa Lumumba bwana Rutashoborwa!
Huwezi kujifunza kama unadhani unaelewa kila kitu.
Mkuu acha ushabiki soma vizuri kinachoelezwa, waweza pitia barua aliyo attachYani hata jambo dogo kama hili unataka uwasubiri wachumi kweli?
Hivi mfano pombe inapo punguziwa kodi kinachotokea ni nini?....
Mkuu hakuna kulichopungua hapo ni ongezekoHii itachochea ukuwaji wa uchumi ukizingatia ribs za taasis nyingne za fedha zitapungua hvyo tunatarajia investment nying kuongezeka. Pia mfumuko wa bei utashuka sana hvyo kuleta unafuu kwa watu wa kipato kidogo.
Mkuu hakuna kitu hapo ni riba imeongezekaDuh afadhali aisee mi ni mkopaji mzuri sana kwenye mabenk. Riba ilikuwa juu balaaa nlikopa 11mil natakiwa kurejesha 15.4mil labda next nikirudi tena itakuwa nafuu
Mkuu hakuna kitu hapo ni riba imeongezekaDuh afadhali aisee mi ni mkopaji mzuri sana kwenye mabenk. Riba ilikuwa juu balaaa nlikopa 11mil natakiwa kurejesha 15.4mil labda next nikirudi tena itakuwa nafuu
mie ni banker ila sijaona bank zikikopa BOT mkopo wa BOT ni intraday unakopa na unarudisha siku hiyo hiyo ukishindwa unageuzwa lombard unapigwa penalty ya hatari kwa msingi huo bank hazikopi BOT kushuka kwa hii rate ndio standards industry rate ila kwa tanzania haina impact sana kwasababu bank zipo huru kujipangia interest zitakavyo
sema hii inaweza kuzisaidia bank kupata pesa zaidi kwasababu kuwekeza kwenye Treasury bill kutakuwa kuna return ndo 12 kuliko fixed deposit ambapo banks zinatoa mpaka 16 percent return for the same period
Mnada wa wiki hii zime range 5.6% to 6%, unaweza ingia kwenye tovuti ya BOT ukaona manada ulivokuwa.