Chapa Nyingine
Member
- Mar 24, 2014
- 34
- 23
Bank examiner jamani...kuna ambae ameitwa hiyo nafasi.
Na mim niliapply hiyo mkuu,mpaka wa sasa kimya
Bank examiner jamani...kuna ambae ameitwa hiyo nafasi.
Na mim niliapply hiyo mkuu,mpaka wa sasa kimya
nashangaa wanatoa habari nusunusu..hawa hao waliopigiwa simu hawajiamini Ndiyo maana wanashindwa kujibu maswali
Hapa kuna dalili za uongo mbna watu hawafunguki kama tulivotarajia, hata hawasemi hyo interview ni lini.
mim mbona hawajanipigia mpka sasa
Sahii wameita nafasi mbili kwaza, bank examiner na accountant then wataendelea nyingine.
Ila wakuu wamechukua very cream, first na upper second ila hata hii gpa considered. Wale wenzangu nammimi wakuu, mmhh... ila tuwe na positive atitude na tuendlee kusubiri
Ngoja tusubili kiongozi labda muda bado yawezekana ukawadia upatapo mabadiliko yeyote usisite kunijurisha kiongozi.
Tupo pamoja kwenye huu mchamcha.
mbona mi nina upper second ila cjaitwa...niliomba bank examiner..
Mpaka leo bila bila?
Daaaah paper ilikuwa balaa...
Watu tumeenda calculator halafu unakutana na essay hahahahahahahaha