BoT na noti mpya 2009

inasemekana hatua ya noti za sasa kuwa na signatures (balali na mramba) za watu wote wanatuhumiwa kwa ufisadi imechangia kwa kiasi kikubwa kubadilishwa kwa noti hizo!!! kuna ukweli wakuu? tusaidiane hili.
 
...duh! sasa Msimbazi ni buku mbili! Sasa hio elfu kumi sijui itapewa jina gani...mkonga,au tembo
 
Nafikiri hii itasaidia kupunguza inflation.

Inflation TZ iko juu sana kuliko tunavyodaganywa na BOT na serikali. Just imagine bei zilivyokuwa 2005 na sasa baada ya miaka 3 ya JK. Utakuta kuwa bei zimeongezeka karibu mara nne. Kwa infalation rate wanyoizungumzia ya less than 10 % kwa analysis ya kawaida tu kwa kihiyo kama mimi katika masuala ya uchumi bei zisingefika huko. Unless kuna other explanation.
 
inasemekana hatua ya noti za sasa kuwa na signatures (balali na mramba) za watu wote wanatuhumiwa kwa ufisadi imechangia kwa kiasi kikubwa kubadilishwa kwa noti hizo!!! kuna ukweli wakuu? tusaidiane hili.

inaweza kuwa kweli maana maisha yalivyomagumu hata mimi nikiona hizo signature zao zinanoifanya nihisi naibiwa haki yangu
 
Mimi nahisi kuna agenda ya kuweka picha za mkuu JK kwenye sarafu/noti. Ni mtazamo tu!!
 
2009-01-09

New banknotes: BoT governor speaks out

By Mkinga Mkinga
THE CITIZEN

Bank of Tanzania (BoT) Governor Benno Ndulu confirmed yesterday that the "current state of affairs in the country" had necessitated the plan to change its currency.

However, Prof Ndulu would not go into the details on the circumstances that have forced the Government to introduce new currency bank notes to replace those that have been circulating for the past five years.

Speaking with The Citizen by telephone from New York, where he is attending a United Nations meeting, Prof Ndulu said that a general decision had been reached that the current currency notes be changed.

Yesterday, The Citizen reported exclusively that the BoT planned a major change of the country's currency notes, having advertised a tender last month inviting reputable companies to bid for the printing of the new currency notes.

Speaking to the Citizen yesterday, Prof Ndulu said: "Though we have generally agreed to change the current banknotes, we have not reached a decision on the specifics on many of the issues involved in this exercise."
However, he pointed out that those would be determined once a printer was found and the contract signed.

"As the top management of the bank, there are matters we need to consult on or discuss with the printer. These are decisions we can't make without the printer's input," he said.

Asked if the change would also involve the introduction of higher denominations or scrapping lower ones, Prof Ndulu said that was one of the issues that had yet to be determined.

He said the policy makers would meet later to look at the "prevailing situation in the country before deciding any changes on the denominations".

As part of the changes, the Governor said the bank would also cancel its contract with the current printer of the country's currency notes.
It was for that reason, he said, that BoT had decided to float a tender in its search for a new company to print the new notes.

He said the former printer, Thomas de la Rue, had completed its contract.
Prof Ndulu also said that the search for another printer was meant to comply with the requirements of the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) Act, which states that the currency printer should be changed every five or seven years.

"The current printer has been working with the BoT for the past seven years. We have now reached the limit according to the law and that is partly why we are looking for a new printer."

In our exclusive report yesterday, Dr Haji Semboja, of the Economic Research Bureau at University of Dar es Salaam, told The Citizen that he saw no good reason for the Government to implement such a project now.

He said that currency changes are usually made with the coming to power of a new administration.

"Sometimes, new central bank managements want to come up with new things that can be identified as their style," he said.

He said other countries changed their notes to control inflation but that was not the case with Tanzania, whose inflation is still relatively low.

The BoT, in a notice published in tnewspapers last month, and also posted on its website, invited tenders for the printing of the currency notes.

This comes in the wake of reports that some businessmen had withdrawn from bank accounts billions of shillings tied up with various corruption scandals.

Contacted for comment on the BoT move, some financial experts in Dar es Salaam cited the infamous External Payment Arrears (EPA) account scandal, through which Sh133 billion was irregularly paid out to some 22 companies and abuse of office for personal gain by some senior government officials as some of factors behind the planned currency changes.

But the minister for Finance and Economic Affairs, Mr Mustafa Mkulo, disagreed with that position, telling The Citizen in a telephone interview on Wednesday that the currency changes planned by the BoT had nothing to do with EPA scam.

According to the central bank's notice, the deadline for prospective firms to bid for the printing of the Bank of Tanzania currency notes is next Wednesday.

Sources within the bank said the BoT had decided to change notes as part of a plan to mop up the money paid out to some businessmen through the EPA scam.

The sources said that as the crackdown on the EPA scandal suspects intensified, some of them reportedly withdrew large amounts of their loot from their bank accounts, in a move, which had stunned the Government.

"About Sh18 billion was withdrawn from several local banks by the EPA suspects as the Government was planning to seize their assets and confiscate properties. This is a huge sum of money in the local transactions," a source said.

The plan to change the currency, the sources said, was also partly due to the central bank's desire to remove from the notes the signatures of two former officials implicated in various scandals.

The current notes bear the signatures of former BoT Governor Daudi Ballali, who was sacked by President Jakaya Kikwete after it was revealed by an international audit firm, Ernst & Young, that the BoT had lost Sh133 billion under his watch.

The notes also bear the signature of former Finance Minister Basil Mramba, who is facing abuse of office charges at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam.

The Government last changed bank notes in 2003, when it introduced into circulation denominations of Sh500, Sh1,000, Sh2,000, Sh5000, and Sh10, 000.

In 1966, Tanzania broke away from the East African Currency Board and issued its own currency in the denominations of Sh5, Sh10, Sh20 and Sh100.
 
Tangazo hilo ni uthibitisho wa tranparency kwenye kila zote kubwa kubwa na maadam inasimamiwa na WB hakuna chance ya mazingira ya rushwa wala makampuni ya ma midlemen. This will be a clean deal.

Usidanganyike ndugu yangu. Tena usidanganyike kabisa. Corruption iko kule ile mbaya, lakini maadam lile ni dudu la ulimwengu halisemwi. Nikupe mfano mdogo kabisa. Je, wajua hao maofisa wengi na mabalozi wengi (sio wote) kila wanapopanga nyumba huwa kuna makubaliano fulani na mmiliki wa nyumba kuwa sehemu ya ile kodi (ambayo huwa imeongezwa makusudi) atakayolipwa mmiliki atarudishiwa ofisa aliyepangisha? Wajua hilo.
Transparency ipo lakini hapo hapo cha juu hakikosekani.
 
Inflation TZ iko juu sana kuliko tunavyodaganywa na BOT na serikali. Just imagine bei zilivyokuwa 2005 na sasa baada ya miaka 3 ya JK. Utakuta kuwa bei zimeongezeka karibu mara nne. Kwa infalation rate wanyoizungumzia ya less than 10 % kwa analysis ya kawaida tu kwa kihiyo kama mimi katika masuala ya uchumi bei zisingefika huko. Unless kuna other explanation.

Kwa mujibu wa chanzo changu cha kuaminika kutoka ndani ya National Bureu of Statistics (NBS), ni kuwa inflation rate ya Tanzania kwa sasa iko kati ya 13% na 15%. Mara nyingi takwimu hupikwa kwa makusudi tena kwa maagizo ya hao hao wakubwa (wanasiasa), maana huwa hawataki kusikia ukweli halisi. Hii ndo ile nadharia ya yule mwandishi wa kile kitabu cha "How to lie with Statistics" inapofanya kazi.

Viongozi wetu wanajua kabisa kinachoendelea, lakini kwa makusudi mazima na kwa malengo ya kisiasa hupotosha takwimu ili kukidhi malengo yao na kuwapendezesha wajomba wetu (donors)
 
Mi naona ni wizi mtupu.Kama mafisadi walichota mabilion je wataweza kutumia njia hiyo hiyo (collusion with the banks) kubadilisha fmabilion hayo.Hiyo inaweza kuwa deal nyingine benki kuu.
 
Tanzania: BoT Contracts Two Foreign Firms to Print Bank Notes

Mkinga Mkinga
30 June 2009


Bank of Tanzania (BoT) is reported to have completed the process to contract tow forign firms to print new bank notes.

Speaking to this newspaper over the telephone from abroad yesterday, Central Bank Governor Prof Benno Ndulu, said two reputable companies have been picked for the task. The successful bidders will be announced shortly.

Prof Ndulu said: "We have selected two companies. I will release their names soon after I return home."

He said the new bank notes will be slightly different from the ones currently in use.


Interviewed by this newspaper last year, Prof Ndulu said the state of affairs in the country had necessitated the introduction of new bank notes.

However, he was non committal when asked to elaborate on what he meant by state of affairs that has led to the change.

The BoT tender was floated after the contract with the former printer, Thomas De La rue, expired.

The BoT chief said the move to look for another printer, was also aimed at meeting the requirements of the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) Act, that bank notes printers should be changed after every five or seven years.

"The current printer has been working with BoT for seven years. We have reached the limit according to the law and that is partly why we have new printers," he said.

The plan to change the currency, according to Prof Ndulu, would involve removing from the bank notes signatures of two former public officials currently implicated in scandals.

The current notes bear the signatures of former BoT Governor Daudi Ballali, who was sacked by President Jakaya Kikwete after it was revealed by an international audit firm, Ernst & Young, that the Central Bank lost Sh133 billion under his watch.

The notes also bear the signature of former Finance minister Basil Mramba, who is facing abuse of office charge in a Dar es Salaam court.

The Government last changed the bank notes in 2003, when it introduced denominations of Sh500, Sh1,000, Sh2,000, Sh5,000, and Sh10,000.
 
Hivi hazina zile alama za mansoon family................
 
Tangazo hilo ni uthibitisho wa tranparency kwenye kila zote kubwa kubwa na maadam inasimamiwa na WB hakuna chance ya mazingira ya rushwa wala makampuni ya ma midlemen. This will be a clean deal.

Unajua saa zingine huwa najiuliza hivi ni wewe kweli au mwingine?

You cant be serious kuwa zoezi hili lisimamiwe na World Bank are you?

anyway...ngoja nikuache uje na hizo arguments why World Bank should do that

patiently waiting to hear from another "GREAT THINKER" from JF
 
Kwa mujibu wa chanzo changu cha kuaminika kutoka ndani ya National Bureu of Statistics (NBS), ni kuwa inflation rate ya Tanzania kwa sasa iko kati ya 13% na 15%. Mara nyingi takwimu hupikwa kwa makusudi tena kwa maagizo ya hao hao wakubwa (wanasiasa), maana huwa hawataki kusikia ukweli halisi. Hii ndo ile nadharia ya yule mwandishi wa kile kitabu cha "How to lie with Statistics" inapofanya kazi.

Viongozi wetu wanajua kabisa kinachoendelea, lakini kwa makusudi mazima na kwa malengo ya kisiasa hupotosha takwimu ili kukidhi malengo yao na kuwapendezesha wajomba wetu (donors)

Hiki chanzo chako siyo cha kuaminika. Kingekuwa hivyo basi kingesema ama ni 13% au 15% na siyo kati ya. Au labda tusema ni 14% maana ndiyo iko kati. Lakini pia siamini hivyo maana ingekuwa ndivyo basi kingesema moja kwa moja.
 
Hizo noti mpya pamoja na za zamani kiwango chake ni kidogo sana tena bora hata noti za zamani zikiweza kuhimili mikiki mikiki zaidi ya miaka mitano ,lakini hizi noti za siku hizi ikitimia mwezi tu inaanza kuzeeka na kuchaa vibaya sana kiasi ya kukufanya uitumie mbio mbio kabla haijakatalika madukani ,nyengine zinatisha kwa kuchakaa sijui hutumika karatasi za grade gani ,au uwongo ?
 
..wanadai wanataka kuondoa kwenye mzunguko wa fedha noti zenye sahihi za mafisadi[mramba & balali].
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom