Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Naibu Gavana wa Benki Kuu(BOT),Juma Reli, amejikanyaga mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali(PAC) akieleza kuwa benki hiyo haijui wala haijawahi kufuatilia taarifa za watanzania 99 wanaotuhumiwa kumiliki mabilioni katika mabenki ya nchini Uswisi.
CHANZO:Nipashe
My take;
Raisi Kikwete sijui anafanya nini Ikulu!!
CHANZO:Nipashe
My take;
Raisi Kikwete sijui anafanya nini Ikulu!!