Boss wa TAHMEED hata uagize hadi ndege kama Service ni poor bado hujateka soko

Senator jr

JF-Expert Member
Apr 3, 2016
367
495
Habari wakuu,

Huu ni ujumbe maridhawa kwako boss wa TAHMEED.
Kwanza kabisa nakupongeza kwa kujali soko lako.
Umetuletea magari mapya mazuri ila ninachokuomba...

1. WAFANYAKAZI
Naomba wafanyakazi wako wajali wateja sio ukipanda gari unskuwa kana umepanda Daladala, mfano
Haiwezkani mteja apande gari Boma ,Hai alafu asiname hadi Moshi wakati amekata tiket full mpaka Dar elfu 33 Halafu asimame kisa kuna abiria wa Arusha to Moshi. Gari ni ya Arusha 2 Dar Badilikeni.

2.DARAJA
Kusema kweli magari yenu nje mazuri sana daraja la juu ila ndani daraja la nne. Ninaomba service kama wifi,tv , Kupokea wateja na kuwaelekeza siti za kukaa.

NI HAYO TU NAOMBA MZINGATIE
 
Huduma kwa wateja ikiwa nzuri, yaweza ikawa ndio mtaji/kisababishi cha biashara kukua. Kizazi cha sasa kinahitaji weledi sana katka huduma yo yote. Hakuna mazoea.
 
Habari wakuu,

Huu ni ujumbe maridhawa kwako boss wa Tahmeed.
Kwanza kabisa nakupongeza kwa kujali soko lako.

Umetuletea magari mapya mazuri ila ninachokuomba...

1. WAFANYAKAZI
Naomba wafanyakazi wako wajali wateja sio ukipanda gari unskuwa kana umepanda Daladala, mfano
Haiwezkani mteja apande gari Boma ,Hai alafu asiname hadi Moshi wakati amekata tiket full mpaka Dar elfu 33 Halafu asimame kisa kuna abiria wa Arusha to Moshi. Gari ni ya Arusha 2 Dar Badilikeni.

2.DARAJA
Kusema kweli magari yenu nje mazuri sana daraja la juu ila ndani daraja la nne
Ninaomba service kama wifi,tv , Kupokea wateja na kuwaelekeza siti za kukaa.

Ni HAYO TU NAOMBA MZINGATIE
Inawezekana watumishi wa bus ulilopanda walikuwa na shida binafsi, kwa route ya Arusha, Tahmeed ni one of the best buses with best services.
 
Inawezekana watumishi wa bus ulilopanda walikuwa na shida binafsi, kwa route ya Arusha, Tahmeed ni one of the best buses with best services.
Si kweli mzee nimepanda mara nyingi hasa ile ya Mwanzo inaboa sana
 
Huduma kwa wateja ikiwa nzuri, yaweza ikawa ndio mtaji/kisababishi cha biashara kukua. Kizazi cha sasa kinahitaji weledi sana katka huduma yo yote. Hakuna mazoea.
Ni kweli istoshe saivi kila mtu ni Digitek sio Digital au analogy
 
Bora kidia one express wanajitahid sana kwa route zao za dar-arusha,gari zina wire-less makondakta wana kauli nzur sana
 
Si kweli mzee nimepanda mara nyingi hasa ile ya Mwanzo inaboa sana

Nimepanda hio kampuni ya bus kwa mara ya kwanza Desemba 19, 2015 kwenda Arusha - baada ya kukosa haya mabasi yetu ya siku zote.

Tangu hapo sijagusa tena kampuni ingene, ndio maana nakuambia hilo bus ulilopanda hao watumishi walikuwa na tatizo lao, na haitakiwi kugeneralize, kuwa hio Tahmeed wana poor service.

Nasikitika umeelezea incidence moja tu, na umeitumia hio incidence pekee kuhitimisha kuwa kampuni yote haitoi huduma bora.

Bado ninaamini na ninauhakika kuwa Tehmeed ni miongoni mwa kampuni zinazotoa bushland bora za usafiri wa mabasi katika njia ya kaskazini.

Naogopa usije kuwa umepost ili kuwachafulia jamaa biashara baada ya kuonekana ni washindani wazuri.
 
To be honest, sioni mpinzani wa Tahmeed Coach kwa Northern route
 
Tahmeed wana mabus mazuri sana ila huduma zao ni mbovu..
Mtu unapanda Luxury 33k lakini unapewa ya uhai ya mia 4 kweli? Wakati semi luxury unapewa soda na biscuit.
Tahmeed naomba mbadilike,toeni huduma inayoendana na nauli na hadhi ua bus.
 
mtoa post katumwa
 

Attachments

  • IMG_20161012_204029_948.JPG
    IMG_20161012_204029_948.JPG
    25.2 KB · Views: 72
  • IMG_20161012_203951_628.JPG
    IMG_20161012_203951_628.JPG
    29.7 KB · Views: 63
Bora kidia one express wanajitahid sana kwa route zao za dar-arusha,gari zina wire-less makondakta wana kauli nzur sana
Hizi basi huwa nikizipandaga huwa zinanipaga sana furaha nisafiriapo basi izo
 
Back
Top Bottom