wana jf, niko katika wakati mgumu. Bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. Sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. Mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
Kwani bosi wako ni she/he?wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
we piga tuu!wana jf, niko katika wakati mgumu. Bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. Sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. Mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
Kwani bosi wako ni she/he?
Usijekuta tayari ana silaha za maangamizi. Hata hivyo kila mtu anakuwaga na hisia zake kwa mtu. Ni haki yake kukutaka ka wewe unavyotakaga mademu. Ukiridhika na idara zote mzee mega tuuu.
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
Umewowa na je yeye amewolewa?
Mkimbie kama ukoma!wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?