Kama una mke wako kaka, jiandae kuingiza ukimwi. Kwenye familia yako. Kama huyo bosi anakutaka, Alisha wataka waliokutangulia. Mwanamke tunaambiwa ni kiumbe dhaifu, Lakini akiwa na madaraka ni hatari kuliko nyoka aina ya black mamba. Ushauri wangu kwako ni huu, mkatalie kabisa, akianza vitisho, pack your bags and go.