Bora uzamie harusi sio semina

Bora uzamie harusi sio semina

Partyrobert

Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
51
Reaction score
5
"jamaa 1 alizamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza; watu wakaanza kujitambulisha wa 1; Naitwa Anna niko SUA mwaka wa2 nasoma Agriculturist
WA2; naitwa alex nipo UDSM mwaka wa3 nasomea public relations
wa3; naitwa Scholla niko UDOM mwaka wa3 nasomea computer science
Jamaa; kwa kusuasua sana huku akijishtukia naitwa Erasto niko TANESCO mwaka wa 8 nasoma MITA,
(dah balaa hii)
 
"jamaa 1 alizamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza; watu wakaanza kujitambulisha wa 1; Naitwa Anna niko SUA mwaka wa2 nasoma Agriculturist
WA2; naitwa alex nipo UDSM mwaka wa3 nasomea public relations
wa3; naitwa Scholla niko UDOM mwaka wa3 nasomea computer science
Jamaa; kwa kusuasua sana huku akijishtukia naitwa Erasto niko TANESCO mwaka wa 8 nasoma MITA,
(dah balaa hii)

bora yeye hajakosea lugha...huyo aliyesema "niko SUA nasoma agriculturist" unamwona msomi sana?
 
Naitwa mapung'o nipo stendi ya mkoa mwaka wa nne nasoma tiketi
 
naitwa senior member niko jf mwaka wa pili nasoma coments.
 
"jamaa 1 alizamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza; watu wakaanza kujitambulisha wa 1; Naitwa Anna niko SUA mwaka wa2 nasoma Agriculturist
WA2; naitwa alex nipo UDSM mwaka wa3 nasomea public relations
wa3; naitwa Scholla niko UDOM mwaka wa3 nasomea computer science
Jamaa; kwa kusuasua sana huku akijishtukia naitwa Erasto niko TANESCO mwaka wa 8 nasoma MITA,
(dah balaa hii)

Hahahahahahahahahaha............umetishaaaaaa
 
Back
Top Bottom