Frank King
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,310
- 886
Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali, ni afadhali kuingia katika uzima hali umepungukiwa mkono au miguu miwili kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili nakutupwa katika moto wa milele.
Na jicho lako likikukosea, ling'oe, ukalitupe mbali nawe, ni afadhali kuingia katika uzima una (chongo) kuliko kuwa na macho mawili nakutupwa katika Jehanam ya moto.
Intermission.
Watu wanaamka asubuhi wanawaza ngono, mwanafunzi upo darasani hapo unawaza gono, kijana upo chuoni tena class, lakini unawaza ni saa ngapi utoke ukafanye mapenzi.
Upo ofisini now unawaza namna utakavyofanya mapenzi na mfanyakazi mwenzako uliyemsotea yapata mwezi wa nne huu, angalia yule baba (anautupa) sasa hivi na ana mke wa ndoa.
Kuna hawa wanapiga punyeto mda huu yani ni shida, taabu, mahangaiko mateso yote ni ili mtu (autupe) tu afurahi.
Hichi kiungo kimechafua hali ya hewa kwa asilimia kubwa kwakweli kwa nionavyo mimi ni bora andiko hili litimie (Math 18:8)kwa kunyofoa pawe kabisa ndiyo unashanga nini sasa?
Kama ni mwanaume kata tupia hata mtoni, kwanini kikuharibie bwana yes! Na kama ni mwanamke kanyofoe tupia hata mbwa, potelea mbali ni bora tu roho isalimike na mwendo tuumalize ili hali imani tumeilinda.
Nawasilisha.
Na jicho lako likikukosea, ling'oe, ukalitupe mbali nawe, ni afadhali kuingia katika uzima una (chongo) kuliko kuwa na macho mawili nakutupwa katika Jehanam ya moto.
Intermission.
Watu wanaamka asubuhi wanawaza ngono, mwanafunzi upo darasani hapo unawaza gono, kijana upo chuoni tena class, lakini unawaza ni saa ngapi utoke ukafanye mapenzi.
Upo ofisini now unawaza namna utakavyofanya mapenzi na mfanyakazi mwenzako uliyemsotea yapata mwezi wa nne huu, angalia yule baba (anautupa) sasa hivi na ana mke wa ndoa.
Kuna hawa wanapiga punyeto mda huu yani ni shida, taabu, mahangaiko mateso yote ni ili mtu (autupe) tu afurahi.
Hichi kiungo kimechafua hali ya hewa kwa asilimia kubwa kwakweli kwa nionavyo mimi ni bora andiko hili litimie (Math 18:8)kwa kunyofoa pawe kabisa ndiyo unashanga nini sasa?
Kama ni mwanaume kata tupia hata mtoni, kwanini kikuharibie bwana yes! Na kama ni mwanamke kanyofoe tupia hata mbwa, potelea mbali ni bora tu roho isalimike na mwendo tuumalize ili hali imani tumeilinda.
Nawasilisha.