Kilichokuwa 'Kiwanda cha Viatu (BORA)' kilibinafsishwa mid 90's. Wahindi waliokinunua kwa bei ya kutupa hawajawahi kutengeneza viatu toka enzi hizo, in fact mashine zote za kutengenezea viatu ziliuzwa kama scrap.
Hata hivyo, line za kutengeneza kandambili na tairi na tyubu za baisikeli ziliendelea kufanya kazi na bila shaka ziliimarishwa kwa kuwa uzalishaji uliongezeka na mauzo yanafanyika mpaka nchi za jirani (source: TRA).
BORA..
Kila kitu kiliuzwa kwa bei ya kutupa kwa wahindi japo ilikua pesa kubwa kwa waliokua wafanyakazi kwa kua ilitakiwa kulipa kwa mkupuo.
Jamani Bora...
Nimekumbuka mengi hadi najisikia kulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.