Hii ni hospitali ya Mkoa wa Morogoro!Hapa ni mjini vipi huko interior ugogoni,usukumani,ufipani,unyirambani ,umakondeni nk,
bora mwenzetu mtoto wa mkulima yuko UK matibabu,ana shida gani kulazwa General wakati umeme hakuna???????
Tena hii hospitali ni ya serikali si unaona shuka la msd! Wizara ya afya wamekwisha ikagua hii?