Bora nimwache aende tu

Bora nimwache aende tu

Umesema takko huna! Unakalia nini sasa!
 
Inferiority Ndio Adui Wako.

Jiulize kwanini wanakuwa na wewe? (Naamini sababu una vigezo)

Kisha jiulize kwaniji wanakuacha njiani? (Sababu haujiamini utakuwa ni mtu mlalamishi lalamishi kila nukta)

Rekebika wewe dada, Jikubali ukubaliwe
 
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu

Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao

Sina kitu cha kumvutia mwanaume kabisa.....sina shape.... Mi mrefu miguu miembamba tumbo kubwa, maziwa makubwa,, tako sina, meno mekundu,,, nywele kipilipil kidogo sura ipo ila sio sana,,, hakuna nguo nayovaa nikapendeza...

Nadhan sivutii ndio maana wananiacha tu nimeona bora nikae tu nilee mtoto wangu ....mpenz niliekua nae nilikua simuelew tu alikua ananiletea mapicha tu...tukienda wote sehem ananitanguliza au anatangulia yeye....nikaja gundua yote anafanya sababu simvutii nineamua nimuache aende kuliko kuumia kihisia
Makosa ya baba yako na mama yako
 
I WOULD RATHER BE SELFISH FOR MY OWN HAPPYNESS, BE ONE!
 
ukijikubali utapata mwanaume wa ukweli. we jikubali tu kua upo hivyo na amini atakaekuja atakua kakupenda hivyohivyo
 
Mleta mada usijikatie tamaa duniani bado tupo wanaume tunao oa tabia na akili za mwanamke na sio umbo na sura,subiri tu atajitokeza anaekufaa.
 
Jikubali kwanza,ipo cku atatokea atakae kupenda kw jinsi ulivyo,jitahidi kuwa mcha Mungu kwa maana ndio sifa ya kuu kw mwanamke(hata mm huwa navutiwa sana na mwnamke mcha Mungu.
Hilo nalo neno
 
Weka tu PM open...utawapata wa type yako...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom