Bora nimwache aende tu

Bora nimwache aende tu

Pole sana kikubwa unatakiwa kwanza ujikubali ulivyo ukijikubali tu utaishi sana kwa amani kingine kuna maisha baada ya mapenzi acha maisha mengine yaendelee kama kwenye mapenzi huna bahati napo
 
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu
Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao
Sina kitu cha kumvutia mwanaume kabisa.....sina shape.... Mi mrefu miguu miembamba tumbo kubwa, maziwa makubwa,, tako sina, meno mekundu,,, nywele kipilipil kidogo sura ipo ila sio sana,,, hakuna nguo nayovaa nikapendeza... Nadhan sivutii ndio maana wananiacha tu nimeona bora nikae tu nilee mtoto wangu ....mpenz niliekua nae nilikua simuelew tu alikua ananiletea mapicha tu...tukienda wote sehem ananitanguliza au anatangulia yeye....nikaja gundua yote anafanya sababu simvutii nineamua nimuache aende kuliko kuumia kihisia
Weka kapicha. Itapendeza zaidi
 
pole mtoa bandiko ukiona hadi wewe unajikataa ulivyo jua lazima ni boko(left hand wa kutosha)

yaani ndo ile unaenda kama unarudi, hakuna namna mpende mwanao tu.
 
umejikatia tamaa mnooo jaman mi nnachoamini hakuna mwanamke mbaya mwenzangu, mapungufu yako unapambana nayo tu kama unapenda miwowowo si uvae tait za kichina meno mekundu kama huyapendi kasafishe kujikatia tamaa haisaidii
 
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu
Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao
Sina kitu cha kumvutia mwanaume kabisa.....sina shape.... Mi mrefu miguu miembamba tumbo kubwa, maziwa makubwa,, tako sina, meno mekundu,,, nywele kipilipil kidogo sura ipo ila sio sana,,, hakuna nguo nayovaa nikapendeza... Nadhan sivutii ndio maana wananiacha tu nimeona bora nikae tu nilee mtoto wangu ....mpenz niliekua nae nilikua simuelew tu alikua ananiletea mapicha tu...tukienda wote sehem ananitanguliza au anatangulia yeye....nikaja gundua yote anafanya sababu simvutii nineamua nimuache aende kuliko kuumia kihisia
Pole sana mkuu ila unapaswa ujikubali jinsi ulivyo na ipo siku utapata mtu sahihi kwa sababu kila binadam kaumbwa na mwenzi wake
 
Hili tangazo umelipia lakini...!!!

Maana kifasihi hapa kuna zaidi ya kichwa cha habari tajwa...
 
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu
Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao
Sina kitu cha kumvutia mwanaume kabisa.....sina shape.... Mi mrefu miguu miembamba tumbo kubwa, maziwa makubwa,, tako sina, meno mekundu,,, nywele kipilipil kidogo sura ipo ila sio sana,,, hakuna nguo nayovaa nikapendeza... Nadhan sivutii ndio maana wananiacha tu nimeona bora nikae tu nilee mtoto wangu ....mpenz niliekua nae nilikua simuelew tu alikua ananiletea mapicha tu...tukienda wote sehem ananitanguliza au anatangulia yeye....nikaja gundua yote anafanya sababu simvutii nineamua nimuache aende kuliko kuumia kihisia
Pole dar ila k ipo?
 
Wewe hakuna mwanamke asieolewa dunia hii labda kama Mwenyezi-Mungu haja mpa huo wito.
Mimi nimeona wanawake wabaya sana wasio na mvuto hata wana watoto kadhaa... Mwanaume akipenda hua anapenda kweli.

Unakosea unapojifananisha na na wengine we jikubali Mungu anakupenda kila mwanamke ana kitu kizuri kwenye mwili wake.
 
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu
Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao
Sina kitu cha kumvutia mwanaume kabisa.....sina shape.... Mi mrefu miguu miembamba tumbo kubwa, maziwa makubwa,, tako sina, meno mekundu,,, nywele kipilipil kidogo sura ipo ila sio sana,,, hakuna nguo nayovaa nikapendeza... Nadhan sivutii ndio maana wananiacha tu nimeona bora nikae tu nilee mtoto wangu ....mpenz niliekua nae nilikua simuelew tu alikua ananiletea mapicha tu...tukienda wote sehem ananitanguliza au anatangulia yeye....nikaja gundua yote anafanya sababu simvutii nineamua nimuache aende kuliko kuumia kihisia
Aiseee, ungeweka picha ingekuwa vizuri sana.
 
Sasa hapo nimekosea kipi??? Ndio hayupo dunian labda kama ungesema nielezee historia nzima ilikuaje ila aliniacha na Alifia mikononi mwangu nikiwa nae.....na nibaada ya wazazi kufatilia maana alitoa mpaka mahar na mambo yalifika hadi kanisan jaman ni story ndefu sana ....ila kifupi tu siwez tunga wala kusema uongo
Thread Ya Oct 18 Ulisema Mumeo Alikufa Hi Ya Leo Umesema Alimludia Ex Wake ,,, Tuelewe Lip
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom