mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,613
- 8,247
Hoja zijibiwe kwa hoja sio kwa vitisho vya aina yeyote ile !! Inabidi watu wajitafakari sana sio kumshambulia Bashiru ! Yale yalikuwa ni maoni yake tu ambayo ni haki yake pia!!Bashiru anawatia wazimu!!??
maandiko kama haya ndio mnazidi kumpa kiki