Boom hutoka baada ya muda gani?

Kaluluma

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
454
584
Habari za leo wakuu, hivi boom la Chuo Kikuu hutoka kila baada ya muda gani?

Natanguliza shukrani
 
af continuous wnajionaga wjanja xna qama uyo boya,, cjui anaxhngaa nn

Sent using Jamii Forums mobile app

Kusema kweli, Umenikwaza na Uandishi wako.

Wjanja=Wajanja,
xana= Sana.
uyo= Huyo
qama= Kama
Cjui= Sijui.

Hata huyu pia ni degree holder wa Fani flani baada ya Miaka mitatu??.

Nyie ndio mnasababisha baadhi ya Wazazi washindwe kusomesha watoto wao sababu ya Ujinga jinga wenu.
 
Back
Top Bottom