Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,671
- 218,174
Polisi wa Mkoa wa Songwe wanaendelea na kibarua cha kuitumikia CCM kwa udi na uvumba, sisi kama raia mabwege tunaendelea kuweka rekodi.
Mwakabanje anatungiwa uongo wa eti kutaka kumuua diwani wa CCM
Angalizo: Hakuna marefu yasiyo na ncha