Uchaguzi 2020 Mkutano wa mgombea ubunge wa CHADEMA kata ya Selela Jimbo la Monduli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,636
218,070
Waswahili walisema tangu zamani kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha , hicho ndicho kinachotokea sasa huko Monduli .

Wamasai wameamka na wamegoma kuabudu binadamu na sasa wameamua kufanya uamuzi kwa kutumia fikra huru .

Hizi ni picha za Mkutano wa mgombea ubunge wa Chadema kata ya Selela Jimbo la Monduli

FB_IMG_1602966121833.jpg
FB_IMG_1602966112052.jpg
FB_IMG_1602966105583.jpg
FB_IMG_1602966098970.jpg
FB_IMG_1602966091699.jpg
FB_IMG_1602966083441.jpg
FB_IMG_1602966068405.jpg
 
Back
Top Bottom