Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,636
- 218,070
Waswahili walisema tangu zamani kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha , hicho ndicho kinachotokea sasa huko Monduli .
Wamasai wameamka na wamegoma kuabudu binadamu na sasa wameamua kufanya uamuzi kwa kutumia fikra huru .
Hizi ni picha za Mkutano wa mgombea ubunge wa Chadema kata ya Selela Jimbo la Monduli
Wamasai wameamka na wamegoma kuabudu binadamu na sasa wameamua kufanya uamuzi kwa kutumia fikra huru .
Hizi ni picha za Mkutano wa mgombea ubunge wa Chadema kata ya Selela Jimbo la Monduli