kwani wadhamini ndio waliompa ushindi kayumba au ni watanzania?
Kayumba alikuwa na juhudi tangu siku ya kwanza,angekuwa hajitumi hata mimi nisingemkubali.
Yote kwa yote kayumba ana nyota,watu wengi sana walikuwa wanamkubali mimi mwenyewe nikiwa mmojawapo,haya ya mdhamini hayana mashiko as long as kijana alikuwa na kipaji na bidii.