Bongo movies angalieni hili

Bongo movies angalieni hili

Lalo Salamanca

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
1,556
Reaction score
1,169
Nimeangalia movies na Tv series nyingi japo sio sana ila nimegundua kuwa Africa kuna location nyingi sana za kufanyia movies, hata stories na matukio yanayotokea na yaliyowahi kutokea nchi za Africa yanaweza kubadilishwa na yakawa movies na zikawa nzuri sana. Mfano mauaji ya Kimbari yaliyotokea Rwanda na movies zilizotengenezwa kureflect hilo kama "Hotel rwanda" na zingine, utekaji nyara wa meli Somalia zinazotokea ulaya kuna movie ya "Captain Phillip", hata vita vya wenyewe kwa wenyewe mfano Series ya "Strike Back" season 3 karibu yote imefanyiwa Africa. Lakini sisi na filamu zetu hapa tunang'ang'ania kuigiza maisha yasiyokua ya kwetu ndio maana watu wanatoka mbali huko wanakuja kuigiza kwa niaba yetu. Kuna movie ya "The White Masai" na "Nairobi Half Life" yaani ni mazingira halisi kabisa ya Africa ambayo sisi tunashindwa kuigiza,na ziko katika kiwango cha juu sana.
Tatizo letu ni nini hasa? Je tunaogopa gharama?? hatuyaoni haya??
Come on bongo movies,why not us?
 
Bongomavi wao wana uwezo wa kuigiza kwenye misiba ya wasanii wenzao, wana uwezo wa mkubwa wa kulia mpaka kuzimia, kuonyeshana mavazi na vitu ka hivyo, pia mkuu usisahau umalaya, kuweka picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii nk.
 
Utakuta;
Sterling yeye
Script writer yeye
Production Manager yeye
Assistant Production Manager yeye
Voice manager yeye
Location Manager yeye
Camera man yeye
Costume manager yeye

Unategemea nini madudu kama haya?
 
Utakuta;
Sterling yeye
Script writer yeye
Production Manager yeye
Assistant Production Manager yeye
Voice manager yeye
Location Manager yeye
Camera man yeye
Costume manager yeye

Unategemea nini madudu kama haya?

Kila kitu kafanya yeye, ndio maana kila siku tunaona vitu vilevile, location zilezile, matukio yaleyale
 
Back
Top Bottom