Hivi Dr.Cheni ni Doctor wa Medicine kabisa ile ya miaka mi-5 darasani au ndio wale wale kama Prof Ndumila Kuwili, Prof J, Prof Maji Marefu na Dr Remmy Hongara?:frusty:
Kabisaaaa na wala sina time nao tena; labda wanilipe! Na hata kunilipa sijui watanilipa shilingi wapi wakati movie iliyotengenezwa kwa TZS 20 million ni among of high budget movie to the point kwamba hata ukitumia standard rate za Hollywood za 3% to 5% ya production cost kwamba ndo alipwe Screenwrite; 5% ya sh. 20 million ni 1,000,000/-....yaani utumie about 3 months kuandika script kisha mtu akulipe Sh. 1 million!!!Kama mambo yenyewe ndiyo haya bora ulivyoamua kuachana nao ukaendelea na mambo yako mengine.
Sasa kama Ray ndiyo anakuwa namna hii je, kina Dr. Cheni na wenzake inakuwaje?! Bongo Movie ni kichwa cha mwenda wazimu.