Kwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?production ya sarafina ilihusisha company kubwa kwenye industry kama Hollywood pictures, miramax na BBC sasa ni vigumu kufananisha na hao wenye camera za harusi
thubutuuuuu!!!, kwa unguli gani alionao!?, labda itokee organization kubwa kama WHO, BBC au mashirika makubwa yatake kufanya film yenye lengo fulani hapa bongo, ndio hayo mashirika yachukue contract Hollywood ila siyo hao unaowataja, hamna mwenye uwezo huoKwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
Mkuu tuseme hata SUMMA-JKT ama VETA hawawezi kututengeneza hiyo mitambo hapa hapa nchini maana chuma tunacho Liganga simenti kwa Dangote nini tena kinahitajika?thubutuuuuu!!!, kwa unguli gani alionao!?, labda itokee organization kubwa kama WHO, BBC au mashirika makubwa yatake kufanya film yenye lengo fulani hapa bongo, ndio hayo mashirika yachukue contract Hollywood ila siyo hao unaowataja, hamna mwenye uwezo huo
mkuu acha masihara wolpa awasiliane na hollywood? atatumia lugha gani labda!Kwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
entertainment siyo priority kwa nchi za watu weusiMkuu tuseme hata SUMMA-JKT ama VETA hawawezi kututengeneza hiyo mitambo hapa hapa nchini maana chuma tunacho Liganga simenti kwa Dangote nini tena kinahitajika?
Ha ha ha ha aiseeKwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
Siri ya mtungi..next level ... director sio wabongoSiri ya mtungi na siri za familia
Unataka kunambia hata mmoja wapo wa huki holiwudi hawezi kudata na wolpa akachkua chance ya hamonaiza wakaamua kuja kufyatua kafilamu ka kikobongo kwa mamitambo yao huko?thubutuuuuu!!!, kwa unguli gani alionao!?, labda itokee organization kubwa kama WHO, BBC au mashirika makubwa yatake kufanya film yenye lengo fulani hapa bongo, ndio hayo mashirika yachukue contract Hollywood ila siyo hao unaowataja, hamna mwenye uwezo huo
Ndugu mbona unakua huelewi? holiwudi ndo pua zao hazipo sensitive ama?Unataka kunambia hata mmoja wapo wa huki holiwudi hawezi kudata na wolpa akachkua chance ya hamonaiza wakaamua kuja kufyatua kafilamu ka kikobongo kwa mamitambo yao huko?