establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,630
- 2,380
Johari hawez kuwa.na contact za Will Smith?
Ndugu mbona unakua huelewi? holiwudi ndo pua zao hazipo sensitive ama?
Ww lazima utakuwa bekitatu aliyejiongeza na kuwa na smartphone..Wasanii wakubwa na wenye majina kimataifa mfano Ray na Wolpa wanaweza kutusaidia huko BBC na HOLLYWOOD
Johari hawez kuwa.na contact za Will Smith?
Wolpa ni nguli??Kwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
Kwa K ipi??Unataka kunambia hata mmoja wapo wa huki holiwudi hawezi kudata na wolpa akachkua chance ya hamonaiza wakaamua kuja kufyatua kafilamu ka kikobongo kwa mamitambo yao huko?
Na hutoa muvi kila mwisho wa mwezi pia anachipusha vipaji ila viwe na churaIgizo la Ray? Ray si ndo ameshika nafasi iliyoachwa wazi na Marehemu Kanumba? Ndo msanii bilionea na mwenye vipaji na tuzo za kimataifa kwa sasa hapa TZ?
Pia tatizo sio huo uwezo wa kuwasiliana na kulipa. Swali kubwa ni je.... wanakwalifai kufanyakazi na hayo makampuni? UNIVERSAL hawawezi kukubali kuharibu reputation yao kwa pesa zenu. Watu wana ethics zao kwenye biashara zao. By the way. Kuna mwanafalsafa mmoja alisema, mafanikio hayafatwi ila huwa yanakuja yenyewe. Mkiwa vizuri holiwudi wanakuja wenyewe, wala huna haja ya kuwafuata.Kwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
Basi wajiongeze angalau tuanze kujenga "viwanda vya filamu" hapa hapa nchini. Na uzuri ATC watakuwa wanaruka moja kwa moja mpaka USA ilipo Hollywood basi tutarajia mafuriko ya kina Will Smith, Jay Z, Kim Kardashian hata Rihana kuja kucheza Bongo Movie.Pia tatizo sio huo uwezo wa kuwasiliana na kulipa. Swali kubwa ni je.... wanakwalifai kufanyakazi na hayo makampuni? UNIVERSAL hawawezi kukubali kuharibu reputation yao kwa pesa zenu. Watu wana ethics zao kwenye biashara zao. By the way. Kuna mwanafalsafa mmoja alisema, mafanikio hayafatwi ila huwa yanakuja yenyewe. Mkiwa vizuri holiwudi wanakuja wenyewe, wala huna haja ya kuwafuata.
mhhh WOLPA kitu gani ?? Watu wanafanya kazi na warembo wa dunia ya kwanza sembuse huyoUnataka kunambia hata mmoja whuyomwa huki holiwudi hawezi kudata na wolpa akachkua chance ya hamonaiza wakaamua kuja kufyatua kafilamu ka kikobongo kwa mamitambo yao huko?
Karibu Nyumbani Rais Al-Sisi. Utujengee viwandaMkuu tuseme hata SUMMA-JKT ama VETA hawawezi kututengeneza hiyo mitambo hapa hapa nchini maana chuma tunacho Liganga simenti kwa Dangote nini tena kinahitajika?
Sarafina na Neria sitazisahau maishani japo enzi hizo nilikuwa sijui kiingereza nilikuwa nasikilizia wanapocheka nami najichekesha.