Hii ni Stendi ya mabasi ya kwenda ndani na nje ya dar.Ni ya pale karibu na Jengo la Tanesco Ubungo.Hako kajengo kenye paa jekundu ndio choo cha kulipia...shilingi 200 kwa haja kubwa na ndogo na kuoga. Baada ya hapo yanaanza magari ya Mbagala na Mnazi Mmoja.Yetu ya Mlandizi hayana rangi ya kuchorwa iliyoasisiswa na Mwaibula