PreGE2025 ‘Bon Yai’ Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe, ajiunga na Kambi ya Tundu Lissu.. No reforms, no Election

PreGE2025 ‘Bon Yai’ Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe, ajiunga na Kambi ya Tundu Lissu.. No reforms, no Election

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
BONI YAI ABADILISHA GIA ANGANI?

Boniface Jacob aka Boni Yai, ambaye alikuwa Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe na ni mtu wake wa karibu, amefanya maamuzi kuonyesha kuwa anasimama na uongozi wa Tundu Lissu kwenye No Reforms, No Election.

Wafuasi wa Mbowe wamekuwa wanatumiwa na mfumo kuihujumu CHADEMA

Boniface Jacob ni Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo, pia ni menyekiti wa Kanda ya Pwani wa CHADEMA
fb_20250407_172218.jpg
fb_20250407_172224.jpg

Hapa chini ni Taarifa ya Kikao cha Kamati tendaji Kanda ya Pwani, kilichofanyika siku ya jana April 5 2025, kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Kanda Mh.Boniface Jacob
20250407_173639.jpg
20250407_173643.jpg
 
BONI YAI ABADILISHA GIA ANGANI?

Boniface Jacob aka Boni Yai, ambaye alikuwa Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe na ni mtu wake wa karibu, amefanya maamuzi kuonyesha kuwa anasimama na uongozi wa Tundu Lissu kwenye No Reforms, No Election.

Wafuasi wa Mbowe wamekuwa wanatumiwa na mfumo kuihujumu CHADEMA

Boniface Jacob ni Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo, pia ni menyekiti wa Kanda ya Pwani wa CHADEMA
View attachment 3295923View attachment 3295924
Amechagua fungu lililo jema.
 
BONI YAI ABADILISHA GIA ANGANI?

Boniface Jacob aka Boni Yai, ambaye alikuwa Meneja Kampeni wa Freeman Mbowe na ni mtu wake wa karibu, amefanya maamuzi kuonyesha kuwa anasimama na uongozi wa Tundu Lissu kwenye No Reforms, No Election.

Wafuasi wa Mbowe wamekuwa wanatumiwa na mfumo kuihujumu CHADEMA

Boniface Jacob ni Meya mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni na Ubungo, pia ni menyekiti wa Kanda ya Pwani wa CHADEMA
View attachment 3295923View attachment 3295924
Hapa chini ni Taarifa ya Kikao cha Kamati tendaji Kanda ya Pwani, kilichofanyika siku ya jana April 5 2025, kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Kanda Mh.Boniface Jacob
View attachment 3295927View attachment 3295928
sawa twende naye kimkakati huenda anataka kuwa inside informer kwa bosi wake wa zamani
 
Uongozi wa CDM na wazee wa chama ni vizuri wakae meza moja ya majadiliano na wale wanachama wa kundi la G55 ili waelimishwe, wakumbushwe, chama kiliazimia nini na nini kwenye No Reform No Election,

maana nahofia CDM watakuja kushangaa kwenye uchaguzi wa Oct 2025 chama chao kina wagombea kwenye majimbo kadhaa ili hali wanapiga uchaguzi ikatokea kama ya wabunge wa viti maalum 2020
 
Back
Top Bottom