Bomu mzee.

uporoto01

JF-Expert Member
May 23, 2008
4,700
1,415
Hapa juzi kati nilienda Mombasa,nikitembea kila baada ya muda nasikia 'bomu mzee' nikawa nastuka vipi mbona hali si shwari au nirudi kwenye giza la Ngeleja ? baada ya muda nikamuuliza mtu vipi mbona kila nipitapo naskia mabomu ? akacheka sana nakunielewesha eti kabila la wenyeji Wagiriama ndio salamu yao.
 
Back
Top Bottom