TBC 1 wameonyesha na wao katika taarifa ya mchana huu na kusema wananchi waliligundua na taarifa kwa taasisi za usalama ambapo wanajeshi walifika baada ya saa 3 na kulipeleka lugalo kwa uchunguzi zaidi.
"Baada ya saa 3"
Habari zaidi ya hapo tusubiri vyombo vyetu vya habari leo jioni labda watakuwa na maelezo zaidi.