Bomu linalomwandama Magufuli

Hakuna msafi TZ serikali ijitahidi tu kusimamia uchaguzi uwe wa wazi na kweli. EL OR mAGUFURI MMOJA WAO ATAKUWA RAIS WETU NA WOTE WAMEKUWA KWENYE SERIKALI HIYO HIYO. WA TZ WENGI NI WAPIGA DEAL TU
 
Uharamia mchana kweupe!!!

ESCROW vipi hahusiki manake kuna orodha ya majina imefichwa; pembe za ndovu je, na masuala ya kuuza unga hayumo manake mkulu kaficha majina. Innji hii bhana wengine wanasakamwa kwa mambo ya kubambikiwa wakati madoni yenyewe kabisa wanalindwa kwa gharama zote
 

Atakuwa raisi chumbani kwako Tena kitandani ila si Tanzania
 
Kweli mkuu inaumiza sana tukiweka pembeni ushabiki wa siasa. Itakua kuna mengi yanaendelea humo ndani hebu jiulize ikiwa haya tusomayo humu ni ya kweli basi yule mama anavumilia mengi. Halafu nina wasi wasi na kauli zake za kibabe kama anaweza kuwaambia wananchi maneno yenye ukakasi je kwa mkewe si balaa
 
 
Hivi Salva Rweyemamu aliyekuwa afisa habari ikulu yuko wapi?
 
Hivi Salva Rweyemamu aliyekuwa afisa habari ikulu yuko wapi?
 
Huyu ndiye Magufuli sasa katika picha yake halisi
 
Hili mbona lilikaliwa kimya kipindi chote cha utawala wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…