Bomu linalomwandama Magufuli

jamani ndo maana mkapa kawaita mapumbavu na malofa!!!mwandishi silva rweyimamu!!kurugenz ya habar ikulu!!!nyumba zilizobaki ni 1098,,someni!!692,675,111,40,29 !!!!majanga mbona zinafika 1500!!!facke source!!!!!!!!!mara kebb'ys!!!tulieni dawa ifanye kazi kwani hamjui hesabu na mnakurupuka!!!magufuli ndiye rais wa tanzania 2015-2020!!
 

Kwa maelezo yako, ni vyema hayo hayo yaweendee waliohama CCM baada ya kukatwa. Ho pia walikuwa na madaraka huko, yawezekanaje leo watuongopee wanaweza kuleta mabadiliko. Mtu makini, ili aaminike, ni vyema akafanya mabadiliko kwake kwanza. Hutegemei kujenga nyumbani kwa mwenzio unaacha kwako hakuko shwari.

TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 

I must say this sounds comical ha ha ha ha ha
 
Ingekuwa vizuri habari hii ikachipishwa front page kuwakumbusha watanzania maana walishasahau. Kama iliandikwa na Salva Rweyemamu mwandishi wa habari wa rais kwa sasa, basi ni credible. Ichapishwe tena. Nawasilisha
Huyu si mgombea urais ni mgombea ujambazi aisee
 
Nahisi account yako imekua hacked maana huu si uandishi wako. Kama kweli ni wewe basi hongera sana aisee dah
Mimi ni team Magufuli,ila ninayosoma humu kuhusu alivyomfanyia mke wake,incase ni ya kweli ,yanaumiza sana.Mimi mtu asiyemjali mke wa ujana wake na akaweza jali mahawara zake huwa namuwekea wasiwasi sana katika kufaa kwake kuwa kiongozi.Ndo maana nasema kama ni kweli Magufuli atengeneze na mkewe,na kama leo nisipomwona huyu mama kwenye mkutano wa Magufuli huko Chato basi nitaconclude kuwa Magufuli hatashinda Uraisi.Ila mama Magufuli akionekana leo kule Chato basi Magufuli ni Rais na anasubiri kuapishwa tu.
 

Hii makala ni mojawapo ya zilizomfanya apewe shavu magogoni ili kumfunga mdomo
 
Tuwe tunafikiri hata kidogo tu kabla ya kutenda

Utofauti unaosema upo kwenye habari..
Kuhusu habari ya Magufuli ccm imeilipa CNN hela nyingi sana ili waondoe habari hiyo na picha zake zote... You will find it no where...!!
 
Habari ya kale sana hii na iloshatolewa majibu. Tunaomba mlete vitu vya motomoto
 

Makufuli na ccm ni janga la kitaifa

kama kipindupindu, ebola na dengue
 
Hii makala ni mojawapo ya zilizomfanya apewe shavu magogoni ili kumfunga mdomo
Siyo kweli,kipindi hicho Salva alikuwa kambi ya JK ikisimamiwa na Lowasa,hivyo yote hii ilikuwa ni kumzuia Magufuli kugombea uraisi baada ya JK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…