Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
mkuu nilisasema hapa... uwezo wetu unaishia kwenye kusoma vichwa vya habari na kuja na majumuisho!! Ndio Watanzania sisi... tunaojisifia hapa jamvini kuwa tu wenye fkra pevu!!! Ila usijali wataiona hiyo link kwenye TV kama watapata muda huo!! vinginevyo utaendelea kuwa mhanga wa habari hiyo... Ila jamaa ameua bila huruma na saluti amepigiwa...Well, mkuu kama nilivyosema kwenye post yangu ya kwanza, nimesema habari za awali. Habari hizo ziko kwenye Guardian ya uingereza na nimeweka pale link yake.
I agree with you kuwa kwenye ukweli uongo hujitenga, sitaki watu waelewe lolote kutokana na nilichoelewa, sitaki ku-impose ideas zangu kwenye vichwa vya watu. Na sitaki kudanganya mtu yoyote. Ninamheshimu mtu yoyote kwa maoni yake awe anajiita mlokole, mpagani au whatever, as long as haui na hasumbui watu. Nakuomba usome hiyo link kuhusu habari za Anders Behring Breivik, hakuna mahali ilipohusishwa Biblia na wala quote kutoka kwenye biblia, imesemwa tu kuwa jamaa ni Christian fundamentalist aliyekuwa na ajenda ya kuanzisha christian war.
Anders Behring Breivik: profile of a mass murderer | World news | The Observer naomba usinishambulie, sijatoa ideas zangu na opinion zangu kuhusu huyu jamaa. Nilichomba ni kuwa tuangalie kama mambo haya yanaweza kulata matatizo hapa kwetu.
Jiulize mpaka ananunua miipuko ile bila kushukiwa kisha watu wanajisifia kwamba wamedhibiti ugaidi!!! Tatizo ni kuwa wanadamu wengi TUNATAZAMANA na KUHUKUMIANA bila ya KUFIKIRI.