Kijana aliyewachapa vijana wenzake risasi.
BBC News - Who is Norway shooting suspect Anders Behring Breivik?
BBC News - Who is Norway shooting suspect Anders Behring Breivik?
kweli nimeamini kuwa western media is acting on double standard. Huyu jamaa kama angekuwa na jina la kiarabu au muislam hii ingekuwa ni big story. Ila kwa kuwa ni christian fundamentalist with anti-islamic view wanaanza kuplay down kuwa huenda akili zake si nzuri.
Kumbuka LEO NI iJUMAA ,NAFIKIRI MLIPUAJI AMESEma ALLAH WA KUBR.
Norway,Sweden,Netherlands wamewakalibisha design hii wengi sana.
Wanazaliana kama kuku,kwa hiyo terrorists wamejaa wengi sana.
ULAYA iko under siege.
Mtu mzima hatishiwi nyau-efraim kibonde
Some time unaweza kuzinduka usingizini ukatoa post hapa ukafikiri nayo ni habari kumbe ni ndoto zimekuchanganya.
Kwanza nikueleze mtoa mada haiwezekani mtu kuwa FREEMASONS at the sometime akawa MLOKOLE kwani hivi viwili havitengamani ni kama kaskazini na kusini au mashariki na magharibi. Hiyo kwanza naku proof wrong.
Unless utanitafsiria una maana gani kusema MLOKOLE lakini kama una maanisha 'A BORN AGAIN CHRISTIAN" You're absolutelly wrong kwani FREEMASON ni Imani na pia mtu ambaye ni mlokole kwa maana ya kuwa Born againi pia ana anacho amini.
Nasema uko wrong kwa sababu mtu hawezi kuwa na Imani mbili kwa pamoja.Yaani mtu hawezi kuwa fundamentalist Islam at the same time akawa fundamentalist Christian kwa wakati huo huo. FREEMASON ni kinyume cha kuwa CHRISTIAN kwani Christians adui wao mkubwa ni shetani while freemasons ni wafuasi wa dini ya kishetani.
Katika spiritual implication"Biblia inasema ufalme ukifitiniana wenyewe kwa wenyewe hauwezi kusimama kwa hiyo nafsi moja haiwezi kuwa na falme mbili ambazo ziko antagonistic kama unavyotaka kudanganya. Imani iko moyoni kama siyo Rohoni hebu tell me ni kwa vipi moyo mmoja unaweza ku accommodate two antagonistic faith na zika work. Katika hali ya unafiki mtu anaweza kujidai ni Christian na at the same time siyo kweli lakini in the long run huwa ukweli na uongo hujitenga na inakuwa revealed kwamba huyu si wa mrengo huu bali ule.
I'm sure physically and spiritually you're wrong na sijaelewa unataka watu waelewe nini hapa othewise unataka kuonyesha jinsi haya mambo ya kiroho yamekupita mbali na you unahitaji msaada.
Some time unaweza kuzinduka usingizini ukatoa post hapa ukafikiri nayo ni habari kumbe ni ndoto zimekuchanganya.
Kwanza nikueleze mtoa mada haiwezekani mtu kuwa FREEMASONS at the sometime akawa MLOKOLE kwani hivi viwili havitengamani ni kama kaskazini na kusini au mashariki na magharibi. Hiyo kwanza naku proof wrong.
Unless utanitafsiria una maana gani kusema MLOKOLE lakini kama una maanisha 'A BORN AGAIN CHRISTIAN" You're absolutelly wrong kwani FREEMASON ni Imani na pia mtu ambaye ni mlokole kwa maana ya kuwa Born againi pia ana anacho amini.
Nasema uko wrong kwa sababu mtu hawezi kuwa na Imani mbili kwa pamoja.Yaani mtu hawezi kuwa fundamentalist Islam at the same time akawa fundamentalist Christian kwa wakati huo huo. FREEMASON ni kinyume cha kuwa CHRISTIAN kwani Christians adui wao mkubwa ni shetani while freemasons ni wafuasi wa dini ya kishetani.
Katika spiritual implication"Biblia inasema ufalme ukifitiniana wenyewe kwa wenyewe hauwezi kusimama kwa hiyo nafsi moja haiwezi kuwa na falme mbili ambazo ziko antagonistic kama unavyotaka kudanganya. Imani iko moyoni kama siyo Rohoni hebu tell me ni kwa vipi moyo mmoja unaweza ku accommodate two antagonistic faith na zika work. Katika hali ya unafiki mtu anaweza kujidai ni Christian na at the same time siyo kweli lakini in the long run huwa ukweli na uongo hujitenga na inakuwa revealed kwamba huyu si wa mrengo huu bali ule.
I'm sure physically and spiritually you're wrong na sijaelewa unataka watu waelewe nini hapa othewise unataka kuonyesha jinsi haya mambo ya kiroho yamekupita mbali na you unahitaji msaada.
Mkuu nashukuru umetusaidia kufahamu kwa kina. Mie hufananisha baadhi ya matendo kuwa si imani pekee bali kuna degree ya maradhi ya akili. Bila shaka tunahitaji taarifa za kutosha kabla ya kuamua/ kujenga hoja juu ya mambo yenye taswira pana kama haya. Hebu chukulia wewe ni mgonjwa wa akili (mbali na wendawazimu) kisha ukawa unawatazama wengine kama vile wamekosea kuwa mbali na imani yako bila kujua kuwa na wao wanakuona umekosea kuwa na imani yako, hapo ndio panatokea vurugu ya kila mmoja kutetea kile anachokiamini.
Nashauri kabla ya kusema ubaya wa imani ya mwenzio jipime wewe unaamini nini na unatekeleza lipi kwenye imani yako, una upeo kiasi gani kujua imani za wenzako, usahihi na upogo wa kile ukijuacho, bila shaka utaishia kwenye kustahmili kushambulia imani za wenzio.
Dear Bongolander, Are muslim/ Christian by Choice or Chance
wakuu siku zote fundamentalism ni hatari, iwe ni political, religious au social. Inachekesha sana, na najua hapa baadhi ya fundametalists wanaweza kuaza kupinga. Lakini habari za awali zinaonesha kuwa huyu muuaji alisukumwa na u-fundamentalist wake na u-freemasons, shetani huyu wa pili (freemason) ameanza kuingia tanzania kwa kasi, shetani wa kwanza (fundamentalism) tayari tunaye japokuwa hakubaliki. Tuangalie makali ya maadui hawa kwa nchi yetu.
binafsi naomba nikurudishe uelewe nini maana ya mlokole na freemassons na hapo natumaini utarudi kurekebisha ulichoandika ..wengi watakujia juu lakini si tatizo lako ni ufahamu ..efeso 4:6 watu wangu wanangamia kwa kukosa maarifa..soma luk 4:10-15 angalia akuna sehemu shetan anakaa na mungu hata siku moja ....nini maana yake
freemassons ni shetwani pure
ukisema mlokole unaamaanisha mmiliki namaanisha mtawala mwenye nguvu yaani ana mamlaka ya kuomba na kubadilisha serikali ya nchi na uchumi wa nchi saa yoyote anapoamua kusema na babake wa mbinguni..so lazima ujue akuna mlokole atakaeitwa freemassons hata sikumoja ..so kwa ufahamu wangu ujakosea ila ukujua tofauti ya ulichoandika mungu akubariki wikiendi njema...
Nadhani watakuwa ni wale wale ambao hawaoni thamani ya uhai wa Wanadamu wenzao na kila siku wanatafuta njia za kujifunga mabomu ili kufanya unyama wao sehemu mbali mbali duniani.
Noma nani hao? Au vijana wa OSAM wako kazini?
Ghadafi aliwapa onyo hawa Nato members chacha watakiona cha mtema kuni itabidi wawashughulikie muslim fundamentalists waliowapa hifadhi.
Kumbuka LEO NI iJUMAA ,NAFIKIRI MLIPUAJI AMESEma ALLAH WA KUBR.
Norway,Sweden,Netherlands wamewakalibisha design hii wengi sana.
Wanazaliana kama kuku,kwa hiyo terrorists wamejaa wengi sana.
ULAYA iko under siege.
Nashukuru Mungu aliyehusika na mlipuko huo hajausika Mzanzibar gaidi! Ahmed Ghailani
Bila shaka Si Mzanzibar Gaidi atakayehusishwa na tukio hili..... Ahmed Ghailani et al....
Swali tena mkuu?
Una maana Al-Shahabu wako mzigoni huko?
Ndo hivyo si unaona UK na USA maadui wao halisi wamewa tight sasa wanatafuta soft na weakest target. Ndio hizo Scandnavia mara uganda na hata tanzania wakiamua.
Tungesubiri ushahidi ndo tuanze ku'comment', make hiyo SKY NEWS umesema wanabashiri..tena kumbe mwandishi tu...jaribu kuwa na subira..
Mtoa mada ka-mislead wanaJF kwa kiasi fulani. Muuaji ni mkristu wa siasa kali mwenye mrengo wa kulia. Siyo mlokole. Ni mbaguzi wa rangi. Hapendi kuona watu wa rangi nyingine wakiishi Norway. Hapendi mwingiliano wa weupe na watu wa rangi nyingine. Ana itikadi ya ki-Nazi, yaani ni mfuasi wa Hitler
Sasa hapo cha kucheka ni nini?Wakuu siku zote fundamentalism ni hatari, iwe ni political, religious au social. Inachekesha sana, na najua hapa baadhi
Sasa hapo cha kucheka ni nini?