Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

Duuuhh waende uko wakachukue kodi kuliko kuwakamua wamachinga sisi.
 
Kumekucha huko,kuna mtu kuwekwa mahala salama soon

ploudly ngosha
 
Kuna wahindi wengine wapo hapa Mbezi -Luguruni na Boko wana vyuo vya kikanjanja...... Sijui kwa nini Serikali haiamui chochote kuhusiana na hawa watu wakati wako na data zote za uhujumu uchumi, kukwepa kodi na manyanyaso na mateso kwa wafanya kazi wake......
TCU, NACTE, RAAWU, HELSB NA WIZARA YA ELIMU sijui kwa nini wamekaa kimya na hawa jamaa wanazidi kuitukana nchi yetu.....
Mawaziri, wakurugenzi na makatibu wa wizara na idara mjue mkiwa mmekaa maofisini mko mnakula kiyoyozi kuna watanzania wenzenu wako kwenye mavumbi na mateso makali sana huku mshahara mpaka jamaa apende kuutoa.
Wahindi ni watu wabaya sana aisee......
-Ni wapuuzi sana hawa jamaa wanatukana nchi wazi wazi kabisa. Magufuli, Majariwa, Samia na wengine ebu fanyeni kitu kwa hawa mjusi kamba wasio na adabu kwa taifa..... Isiishie kwa Yusuf Manji tuu labda kwa sababu yeye anaingilika kwa sababi ni mwanasiasa.

Wanaharibu elimu ya watanzania, wanaharibu wanafunzi, walimu wa KIHINDI hawana chochote kichwani hawana vyeti lakin wanategemewa kuproduce wataalamu wa sayansi. Ndalichako njoo utumbue ili unusuru hili janga.

Elimu yetu inachezewa na wahuni wachache aisee, fanyeni kitendo kuweka heshima ya nchi yetu. Wahindi siyo watu wa kawaida nahisi hata SHETANI hafiki kwa hawa jamaa.

St JOSEPH UNIVERSITY COLLEGE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY IMULIKWE KWA JICHO LA TATU IKIWEZEKANA WAFUATAO WAHUSIKE KUIANGALIA.....
1. TRA
2. PCCB (TAKUKURU)
3. TCU
4. NACTE
5. KAMISHNA WA KUPAMBANA NA KUZUIA MADAWA YA KUKEVYA
6. POLICE
7. WIZARA YA MAMBO YA NDANI
8. WIZARA YA MAMBO YA NJE
9. IMMIGRATION (UHAMIAJI)
10. WIZARA YA ELIMU......
........
.......
.......
NA WENGINE WANAOHUSIKA.

HILI NI JIPU TRUST ME TRA HAPO HAMKOSI BILLION ZAIDI YA 100 MKIFANYA UJAGUZI WA TRANSACTIONS ZAO......

NJOOONI JAMANI MPATE KUFANYA KAZI ILI KUUNGA SERA NA JUHUDI ZA RAIS.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulaaleki. Hawa Panjab watu mbaya sana wamemdhulumu mpaka mwenzao daah

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Nilichokielewa kwa kifupi kuwa kuna kampuni inaitwa CI Group na kampuni tanzu inaitwa MASOKO wanaendesha shughuli zao kwa njia ya udanganyifu.Kwa mfano wao wanapeleka hesabu TRA kuwa mapato yao kwa mwezi ni milioni 40 wakati ukweli ni kwamba mapato ni bilioni 40.Pili hao wamiliki wanatumia kibali cha kuendesha hiyo kampuni ambacho kimeisha muda wake miaka mingi,yaani kime-expire.Tatu huyo aliyetoa hiyo taarifa ameishi hapa nchini bila kibali maalum cha kuishi kwa takribani miaka miwili.Na hata mabosi wa hiyo kampuni ambao ni wahindi zaidi ya 13 wanaishi bila vibali sahihi vya kuishi nchini.Kwa ufupi ni hayo ila kama tuhuma hizi ni kweli,basi Tanzania imefanywa shamba la bibi.
 
huyu mvujishaa habari sijui hajalipwaa au nahisi kafukuzwaaaa ...alikuwaa WAP asitoee hizi taarifaa tangu alivyojuaaa there must b something wrong here ....au katajaa sababu manake sijafikaa mwisho though nimesomaa mwanzo kati na mwisho
 
huyu mvujishaa habari sijui hajalipwaa au nahisi kafukuzwaaaa ...alikuwaa WAP asitoee hizi taarifaa tangu alivyojuaaa there must b something wrong here ....au katajaa sababu manake sijafikaa mwisho though nimesomaa mwanzo kati na mwisho
kizungu Kazi ..Jerry nimecheka koment washkaji huku hadi basss
 
Duh huyo mhindi ni nyoko kamwaga ugali na mboga zote
Kama hawa wanafanya huo ufisadi na kukwepa kodi pamoja na uhuni wa kuficha na kuwatumia wahamia ambao hawana vibali vya kufanya kaz nchini ,


Aiseee uncle maguful hawa sio wa kutumbua hawa inabid upasue majipu yao
 
Huyu jamaa anatakiwa apewe ulinzi bila ya hivyo anaweza kuuawa kabla wahusika hawajamuhoji. Tusije shangaa hao wahusika wakamgeuzia kibao kwa kushirikiana na watuhumiwa. Ila kwa taasisi zetu zilivyo sintoshangaa kusikia jamaa akikamatwa na kusota Segerea huku wahusika wakiendelea kula bataz.
 
....Whistle blowing, JPM lazima aisikie hii kelele ya filimbi....!
 
Mnh! Hiyo inaitwa ukimwaga mboga, mimi namwaga ugali!!!

Kama hii nchi ina watendaji wanaofahamu wanachofanya I hope hivi sasa wapo kwenye viunga vya hiyo kampuni!
 
Back
Top Bottom