Huyu sidhani kama bado yuko Bongo itakuwa kadhulumiwa au kamwagwa kazini.....naye akaamua kufunguka na nahisi atakuwa ameisha sepa nchini.Huyu jamaa anatakiwa apewe ulinzi bila ya hivyo anaweza kuuawa kabla wahusika hawajamuhoji.
Yote yawezekana, hili ni dokezo zuri la taarifa na wahusika waifanyie kazi hii taarifaHuyu sidhani kama bado yuko Bongo itakuwa kadhulumiwa au kamwagwa kazini.....naye akaamua kufunguka na nahisi atakuwa ameisha sepa nchini.